ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 79,360
- 154,913
So umepanic budaa๐๐๐๐๐๐Diamond amepambana hadi amefika hapo alipo, na nyie mpambane sio kumsubiri na kumuibia ibia
Hebu ona alikoanzia kipindi anaimba 'Nitarejea'
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So umepanic budaa๐๐๐๐๐๐Diamond amepambana hadi amefika hapo alipo, na nyie mpambane sio kumsubiri na kumuibia ibia
Hebu ona alikoanzia kipindi anaimba 'Nitarejea'
![]()
Huyu dem amepona? Diamond ndiye aligharamia matibabu yake.
Yes, Hawa wa NITAREJEAVizuri .Jina lake hawa?
Ukiona wakenya wamefikia hatua hii ya kumthamini mtanzania kuliko Raila na Uhuru, basi ujue wamekubali kwamba Bongo flava imeshindikana
Aroo ๐ ina maana hata watoa mapovu humu ndani walihudhuria hii event?Ukiona wakenya wamefikia hatua hii ya kumthamini mtanzania kuliko Raila na Uhuru, basi ujue wamekubali kwamba Bongo flava imeshindikana
Nyanyangu, haiwezikani watu wote wakapenda kitu kimoja, Saudi Arabia ni nchi ya kiislam, haina maana watu wote kule ni waislam, ninakushauri uwe unaishieikisha akili na vidole kabla ya kupost.MTU asikudanganye kwamba ni wakenya wote. Kuna wengine ambao hawapendi muziki wenu.
Kuna mmoja mtoa povu anaonekana hapo akikatikaAroo [emoji14] ina maana hata watoa mapovu humu ndani walihudhuria hii event?
KE is just another lucrative market, why not exploit it... Mambo ya ku make pesa hayanaga siasa, wacha vijana watengeneze dough..
Hahahha kwasbabau hamuna music industry ๐๐๐๐๐ maneno ya mkosaji hayoKenya is the country everyone comes to fulfill their dreams.
Their land of opportunities.
Hayo ndio maneno lakini msiseme kua nyinyi ndio mumemfanya diamond awe famous ๐๐๐๐๐๐Diamond is an icon of east and central africa.. Let we all Kenyans prouds of him
We love Kenyans so much.The way tanzanians artists are treated in kenya can clearly show our attitude towards tanzanians, the opposite is true though, nowadays every tanzanian artist to make it seems like he must come to kenya, but this trend has been there since the 80's when congolese musicians the likes of mbilia bel, kanda bongo man would flock to kenya
Inaonekana hujui Kenya wewe, show huku hujazwa hadi ukizimia hauanguki Chini unabaki umesimama maans hakuna pa kuanguka, mwanzo hizi town kama Nakuru,Eldoret,Thika etc.... Hata MC Will M Tuva hua akienda sehemu kama hizi anajaza Hadi kumwagika na yeye si msanii!Ukiona wakenya wamefikia hatua hii ya kumthamini mtanzania kuliko Raila na Uhuru, basi ujue wamekubali kwamba Bongo flava imeshindikana