Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #21
By JokaKuu![]()
![]()
AshaDii, Rutashubanyuma, Nyani Ngabu,
..Thank u AshaDii.
..tafsiri yangu ya hukumu ya mahakama ya rufani ni kwamba madai ya wapiga kura watatu wa Arusha, hayafikii "threshhold" ya kuweza kutengua matokeo ya uchaguzi wa mbunge.
Nakubaliana na wewe Jokakuu, ila I would say katika hio ruling the most interesting part kwa upande wangu ni udadafuzi wao juu ya victim kushitaki mwenyewe akihisi/ona kaonewa as opposed to kushitaki on behalf of the victim na the fact ya namna inavyokuwa transparent jinsi gani sheria inaweza tafsiriwa in what ever way as long as unaweza simamia hicho kipengele.
Hii inafanya some how iwe aibu sana kwa aliye toa hukumu awali kwa case ambayo ilikuwa apparent kuwa haina uzito tokana na vielelezo na hoja zilizowakilishwa.
AshaDii Mahakama ya Rufaa haikuchunguza uamuzi wa jaji aliyelisikiliza shauri zaidi ya kukosoa utaratibu wa kuwatambua wafungua shauri kama kweli walijiandikisha kulingana na sheria ushahidi. Tafsiri ya Mahakama ya Rufaa ina utata mkubwa kuwa mwanasheria hawezi kuonyesha vielelezo wakati wafungua shauri wapo. Hii ni tafsiri mpya ambayo huwa haitumiwi na mahakama zetu. Mazoea ni kuwa wakili ndiye huvitoa vielelezo husika mahakamani. Mahakama ya Rufaa sasa inasema ya kuwa kama mashahidi wapo wao ndiyo wavitoe wao wenyewe na wala siyo vinginevyo.
Hili Mahakama ya Rufaa inaelekea limewasumbua na ndiyo maana wakatafuta eneo jingine la kusimamia katika kukataa kuuchunguza uamuzi wa kiawali Naomba niwanukuu:-
Assuming for argument sake that the respondents were registered voters, did they have locus standi to petition and challenge the election basing on the alleged uncivil words the appellant is said to have uttered during the campaign period.?
Wakamalizia na kusema ya kuwa wafungua shauri hawakuwa na haki ya kulifungua shauri lenyewe..............That is all sasa yule Jaji Mujuluzi ameumbuliwa wapi?
Having taken this view, we are of the settled mind that the respondents had no locus standi in the election petition they filed in the High Court. That alone is enough to dispose of the appeal. We find the appeal to have merit. The appeal succeeds and we set aside the judgment, decree and order of the High Court. We declare the appellant Member of Parliament for Arusha constituency. We allow the appeal with costs to the appellant and we certify costs to two counsel.
Last edited by a moderator:
