Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #61
By Mzee Mwanakijiji![]()
![]()
Hili naweza kusema jibu litakuwa ni kuwa Chama cha Siasa kina locus standi kwenye kesi ya uchaguzi........hili la Arusha Mjini Chama cha Mapinduzi hakikuwa mlalamikaji na wala hakikujiweka kama amicus curie na hivyo hatujui msimamo wake kwenye ile kesi ni nini.
Batilda Buriani alitakiwa kufungua hiyo kesi yeye mwenyewe na kama kulikuwa na kundi la wanawake ambao nao waliamini kuwa kweli Lema alisema maneno ya kuwadhalilisha basi na wao wangejiunganisha kwenye kesi hiyo. Lakini halikufanyika hilo.
Ahsante,umefafanua vema sana. Hii ndio hasa hoja niliyomaanisha katika bandiko langu la awali.
Key words, locus standi and amicus curiae.
Kwa wale wenye hoja kuwa hili ni suala la public interest na kwamba there's infringement of voters right, nina panua mjadala kidogo kwa kuuliza kwanini mbunge anayechaguliwa na wananchi (kwa public interest) anaweza kupoteza ubunge kwa kupitia chama chake na si wananchi ! Je, hapo public interest imelindwa na voters wamepewa haki kama tunaoyoona wamenyimwa na CA of Tz.
Nguruvi3 Pamoja na kumshukuru Mzee Mwanakijiji kuwa kajibu swali lakoo ukweli ni kuwa hajalijibu na majibu yake hayajazingatia uamuzi husika hakuna mahali ambapo Mahakama ya Rufaa imesema jinsi Mzee Mwanakijiji kasema! Nimefafanua awali wakati ninamjibu.
Pili huwezi kutumia mapungufu yaliyomo kwenye sheria zetu kuhalalisha wapigakura kunyang'anywa haki yao ambayo tayari kwenye katiba kama kifungu cha ibara ya 26(2).
