The Lema Verdict: Did the Court of Appeal encroach on litigation rights of a voter?

The Lema Verdict: Did the Court of Appeal encroach on litigation rights of a voter?

Merry Christmas sweetheart, love u ma!

Wajibu rufaa ni wale ambao walikuwa wanamshtaki Lema katika mahakama kuu. Pale huitwa Plaintiffs na anayeshtakiwa anaitwa Defendant. Sasa inapokwenda kwenye ngazi ya rufaa, yule anayekat rufani anaitwa appellant (mrufani) ambaye ni Lema na wanolalamikiwa katika rufani hiyo wanaitwa wajibu rufani yaani respondents ambao ndio wale wa CCM.

Kuhusu majaji wa mahakama kuu kupinga hilo haliwezekani mama yangu gfsonwin. Mahakama ya rufaa ipo juu ya mahakama kuu na uamuzi wa mahakama ya rufaa ndio huchukuliwa kuwa ni uamuzi halali wa mahakama. Mahakama zote za chini zinapaswa kufuata jinsi mahakama ilivyoamua mpaka hapo itakapoamua vinginevyo au bunge litakapotunga sheria mpya
love you too swthrt.

asante kwa kumfundisha mama yako manake leo niko kwenye hili darasa hadi kieleweke sichez mbali hadi nielewe sheria ya uchaguzi.

sasa kumbe bado katiba yetu ndo inayotuanusha enh! manake kama imeonekana hukumu iliyotolewa haikufuata sheria ipasavyo na taratibu zilizotakiwa wafikir walalamikaji wanafanyaje tena na imeshasemwa maamuzi ya mahakama ya rufan ndio ya mwisho??
 
George Jinasa;

Nina swali. Kwa mfano mimi ni mpiga kura wa Ilala na nafahamu kuwa mbunge wa Rufiji sio raia wa Tanzania. Je naweza kupinga matokeo ya uchaguzi kwa sababu mbunge wa Rufiji hana sifa za uraia au itabidi nifungue kasi ya madai ya uraia?

Nijuavyo mimi huwezi kupinga wala kufungua kesi ya madai. Ila kama una ushahidi kwamba yeye si raia na hana permits halali za ukazi wake unaweza kumripoti polisi au uhamiaji maana hilo ni kosa la jinai.
 
Nijuavyo mimi huwezi kupinga wala kufungua kesi ya madai. Ila kama una ushahidi kwamba yeye si raia na hana permits halali za ukazi wake unaweza kumripoti polisi au uhamiaji maana hilo ni kosa la jinai.


Kwa maelezo haya na yaliotangulia, ina maana entities kama vile vyama vya siasa au vya kutetea haki za binadamu havina haki ya kupinga matokeo kwa sababu havijajiandikisha kupiga kura.

Iwapo kujiandikisha kupiga katika jimbo ni kigezo cha kupinga matokeo ya uchaguzi basi ni kigezo vilevile cha kupinga taratibu za uendeshaji uchaguzi katika jimbo hilo.
 
ivi wajua kwann naipenda zaid sayansi ni kwasababu huwa iko straightforwad. leo hii ukitaja newton's laws of motion ni zile zile ingawa zina mulitple applications ila sheria siipend kwasababu kila siku ina definition tofauti and it gives me some problems when writing my contracts, like there are no common definition of some contractual terms. every term shld be defined according to the meant purpose.

BIG POINT.......... gfsonwin lakini bado sheria pamoja na matatizo yake tunazihitaji sana kutatua migogoro inapojitokeza tatizo watoa haki wengi siyo waaminifu hata kidogo.......
 
Last edited by a moderator:
@Rutashubanyuma,

Swala la ushahidi wa video ni swala ambalo lilipaswa kuwa determined na High Court. Ikiwa ushahidi huo ulipelekwa mahakamani na ukawa admitted kisha jaji akapuuza kuuzingatia, hilo ni kosa la jaji wa mahakama kuu.
Swala linapokwenda court of appeal si kazi ya court of appeal kusikiliza kesi (trying the case) bali kuamua rufaa. Ikiwa kuna upande wowote uliona kuna tatizo kwenye admission ya huo ushahidi, ulipaswa kuiomba court of appeal iagize kesi kusikilizwa upya na jaji mwigine (retrial). Hii inatokea kukiwa na irregularities zilizopelekea kupoteza haki ya mtu! Sasa kama huo ushahidi haukupelekwa High Court tusetegemee court of appeal waanza kuchunguza kitua ambacho hakikuwepo in the first place.Pili, kuna mambo mengine katika kesi yakiamuliwa yanaathiri mwenendo mzima wa shauri na hiyo mahakama haina haja ya kuendelea na hoja zingine. Kwa mfano kama case imepita mda wake wa kusikilizwa (time barred) au mahakama haina mamlaka ya kuisikiliza (jurisdiction), itaitupilia mbali kesi hiyo wala haitaangalia maswala ya msingi ya kesi hiyo (the substance of the case). Sasa katika swala la Lema, kujua kwamba wajibu rufaa walikuwa na haki ya kufungua kesi hiyo ni swala la msingi. Mahakama imeona hawakuwa na haki ya kufungua kesi hiyo (ama hawakuwa na locus stand). Sasa kama hawakuwa na locus stand hakuna haja ya kuendelea na hoja nyingine however good they might be!

Ronn M Katika hoja za rufani za Lema imo khoja ya kuomba mahakama itathmini ushahidi wa video ambao mahakama kuu iliupuuza na haikuutumia katika maamuzi yake...............Mahakama ya Rufaa inayo mamlaka ya kutathmini ushahidi na hata kuagiza ushahidi uchukuliwe upya.

Mahakama ya Rufaa kosa lao kubwa kuliko yote ni kusema ya kuwa hii kesi haina masilahi kwa umma wakati hata ushahidi uliomo kwenye video hawakuuchunguza! Mahitimisho yao juu ya hii kesi kuwa haina masilahi kwa umma hayana msingi wowote ule wa kisheria
 
BIG POINT.......... gfsonwin lakini bado sheria pamoja na matatizo yake tunazihitaji sana kutatua migogoro inapojitokeza tatizo watoa haki wengi siyo waaminifu hata kidogo.......

yeah! its true that we need laws and regulations.

and you know what, terminologies za kisheria they are difficult ever. iwe imekuwa translated to kiswahili ama kiingereza.

kuna wakati niliwah kushriki katika EIA, ya mradi fulani sasa tulipokuja kukaa kuandika report nilijikuta niko darasani upya manake environmental laws ni ngumu, clarifications zake zinahitaj mtu ambaye ni mjuzi wa sheria zote unazozijua manake hausimamii sheria ya mazingira tu, mara utaskia water law ya mwaka fulan inasemaje mnaanza tena, mara marine environment laws zinasemaje mnaanza tena huku mkija land law inasemaje mnaanza tena. whoooooopsssss................. see it was tough activity.

ila tulimanage kuandika chini ya usmamizi wa mwanasheria wa kampuni ilokuwa imepewa tenda pamoja na wataalam wa sheria wengine, sasa ikaja inatakiwa itolewe kwenye swahili version and ni sheria ya sasa kwamba any EIA report lazima itafsiriwe bana wewe kuipeleka TUKI swahili version ilikuwa ngumu tena kuliko kiingereza chenyewe. ndo maana hadi leo naona uvivu kujifunza sheria niielewe zile basic principles.
 
love you too swthrt.

asante kwa kumfundisha mama yako manake leo niko kwenye hili darasa hadi kieleweke sichez mbali hadi nielewe sheria ya uchaguzi.

sasa kumbe bado katiba yetu ndo inayotuanusha enh! manake kama imeonekana hukumu iliyotolewa haikufuata sheria ipasavyo na taratibu zilizotakiwa wafikir walalamikaji wanafanyaje tena na imeshasemwa maamuzi ya mahakama ya rufan ndio ya mwisho??

gfsonwin yeyote ambaye hajaridhika kati ya hizo pande mbili bado anaweza kurudi kwenye mahakama hiyohiyo ya rufaa na kuomba marejeo.............yaani review ila anatakiwa aonyeshe mojawapo angalau ya yafuatayo:-........ya kuwa kuna ushahidi ambao haukufanyiwa kazi, au mambo yaliyokuwa wakishindania hayakushughulikiwa na kutolewa maamuzi, au mahakama ya rufaa tayari ilikwisha kuweka msimamo awali wenye kushahibiana na hii kesi ambao sasa unatofautiana na huu wa Lema hivyo kuiomba Mahakama ya Rufaa isawazishe hukumu mbili ambazo tafsiri zake zinakinzana na hivyo kuwa na tafsiri moja.

Wapinga rufani wana hoja nzuri za kuomba merejeo tajwa kwenye maeneo yote niliyoyagusia hapo juu.

Kwanza video hazijatathminiwa, pili mahakama ya rufaa imeanzisha mazogo mapya ya uhalali wa wapinga rufani katika nafasi yao ya wapigakura walioandikishwa- Mahakama ya Rufaa ilipaswa iwape nafasi ya kuijibu hii khoja kabla ya kuwatangaza hawana ushahidi kuwa walikuwa wapigakura wa jimbo la Arusha, tatu matumizi batili ya sheria ya ushahidi.............sheria za ushahidi na cpc zote kwa pamoja zinamtambua wakili kuwa anayo mamlaka ya kutoa vielelezo vya ushahidi wakati shauri linasikilizwa kinyume cha sasa ambapo mahakama ya rufaa imedai ni mashahidi wenyewe kama wapo mahakamani!.......hii ni mpya kabisa lazima irekebishwe...........na zipo hoja nyingine nyingi mathalani .....tafsiri yao ya Ibara 26(2) na sheria ya uchaguzi vifungu vya 111 (1) (a) ni tafsiri ambazo ninauhakika jopo la majaji 5 wa mahakama ya rufaa watazikataa kwa kuwa zimefifilisha haki za wapigakura kusimamia uchaguzi wao wenyewe ambao wameshiriki na kuwamilikisha wagombea tu...........haki za wapigakura.....jambo ambalo siyo malengo hata chembe ya Katiba na sheria ya uchaguzi tajwa.........
 
gfsonwin yeyote ambaye ajaridhika kati ya hizo pande mbili bado anaweza kurudi kwenye mahakama hiyohiyo ya rufaa na kuomba marejeo.............yaani review ila anatakiwa aonyeshe ya kuwa kuna ushahid ambao haukufanyiwa kazi, au mambo yaliyokuwa wakishindania hayakushughulikiwa, au mahakama ya rufaa tayari ilikwisha kuweka msimamo ambao unatofautiana na huu wa sasa hivyo kuiomba isawazishe hukumu mbili ambazo tafsiri zake zinakinzana

Wapinga rufani wana hoja nzuri za kuomba merejeo tajwa kwenye maeneo mawili yote ya hapo juu.

Kwanza video hazijatathminiwa, pili mahaka ya rufaa imeanzisha mazogo mapya ya uhalali wa wapinga rufani katika nafasi yao ya wapigakura walioandikishwa- Mahakama ya Rufaa ilipaswa iwape nafasi ya kuijibu hii khoja kabla ya kuwatangaza hawana ushahidi kuwa walikuwa wapigakura wa mkoa wa Arusha, tatu matumizi batili ya sheria ya ushahidi.............sheria ya ushahid na cpc zote kwa pamoja zinamtambua wakili kuwa anayo mamlaka ya kutoa vielelezo vya ushaidi wakati shauri linasikilizwa kinyume cha sasa ambapo mahakama ya rufaa imedai ni mashahidi wenyewe kama wapo mahakamani!..................na zipo nyingine kama tafsiri yao ya Ibara 26(2) na sheria ya uchaguzi vifungu vya 111 (1) (a) ni tafsiri ambazo ninauhakika jopo la majaji 5 wa mahakama ya rufaa watazikataa kuwa zimefifilisha haki za wapigakura kusimamia uchaguzi wao wenyewe ambao wameshiriki na kuwamilikisha wagombea tu...........haki za wapigakura.....

kwanza nakushukuru kwa kuzidi kunielewesha ingawa nina kichwa kigumu kuelewa sheria haya here we go now!

umesema wapinga rufani wana hoja nzuri ya kuomba marejeo ya maeneo tajwa hapo juu, sasa haya marejeo(review) ni kwamba hukumu ya rufani itasomwa upya ama itakuwaje??

na je kama itasomwa upya naamini pia lazima uwasilishe vithibitisho/ usahidi kwamba rufani iliyopita haikuwa sahihi kufuatana na sheria, je wafikiri mahakama itakubali kuendelea na hii kesi na itoe hukumu ambayo haiko biased simply kwasababu wataonekana mwanzoni walivurunda??
 
yeah! its true that we need laws and regulations.

and you know what, terminologies za kisheria they are difficult ever. iwe imekuwa translated to kiswahili ama kiingereza.

kuna wakati niliwah kushriki katika EIA, ya mradi fulani sasa tulipokuja kukaa kuandika report nilijikuta niko darasani upya manake environmental laws ni ngumu, clarifications zake zinahitaj mtu ambaye ni mjuzi wa sheria zote unazozijua manake hausimamii sheria ya mazingira tu, mara utaskia water law ya mwaka fulan inasemaje mnaanza tena, mara marine environment laws zinasemaje mnaanza tena huku mkija land law inasemaje mnaanza tena. whoooooopsssss................ . see it was tough activity.

ila tulimanage kuandika chini ya usmamizi wa mwanasheria wa kampuni ilokuwa imepewa tenda pamoja na wataalam wa sheria wengine, sasa ikaja inatakiwa itolewe kwenye swahili version and ni sheria ya sasa kwamba any EIA report lazima itafsiriwe bana wewe kuipeleka TUKI swahili version ilikuwa ngumu tena kuliko kiingereza chenyewe. ndo maana hadi leo naona uvivu kujifunza sheria niielewe zile basic principles.

gfsonwin shule ni kujifunza mwenyewe, kujituma, kiu ya kujiendeleza na pia ni kipaji cha mwenyezi Mungu
 
Last edited by a moderator:
kwanza nakushukuru kwa kuzidi kunielewesha ingawa nina kichwa kigumu kuelewa sheria haya here we go now!

umesema wapinga rufani wana hoja nzuri ya kuomba marejeo ya maeneo tajwa hapo juu, sasa haya marejeo(review) ni kwamba hukumu ya rufani itasomwa upya ama itakuwaje??

na je kama itasomwa upya naamini pia lazima uwasilishe vithibitisho/ usahidi kwamba rufani iliyopita haikuwa sahihi kufuatana na sheria, je wafikiri mahakama itakubali kuendelea na hii kesi na itoe hukumu ambayo haiko biased simply kwasababu wataonekana mwanzoni walivurunda??

gfsonwin Kazi ya mahakama ni kutenda haki na wala siyo kuangalia hisia zao au za jamii............pili maeneo mapya ya usahidi hayaruhusiwi ila kuupitia ushahidi kama wa video na kuona lema alisema nini na kama kuna masilahi ya jamii kwenye kauli tajwa.....................pia kuangalia tafsiri ya utoaji vielelezo vya ushahidi siku kesi inasikilizwa kama ilivyotafsiriwa na mahakama ya rufaa ni sahihi..............na mengineyo niliyoyaanisha awali...........
 
gfsonwin Kazi ya mahakama ni kutenda haki na wala siyo kuangalia hisia zao au za jamii............pli maeneo mapya ya usahidi hayaruhusiwi ila kuupitia ushahidi kama wa video na kuona lema alisema nini na kama kuna masilahi ya jamii kwenye kauli tajwa.....................pia kuangalia tafisiri ya utoaji vielelezo vya usahidi siku kesi inasikilizwa kama ilivyotafsiriwa na mahakama ya rufaa ni sahihi..............na mengineyo niliyoyaanisha awali...........
ahaa! hapa sasa naweza kukuelwa nikiunganisha na mistari ya nyuma uliyotangulia kusema.

nina swali moja dogo sana la kizushi, kwa kufuata mwenendo wa hii rufani mwenye akili kama yangu isojua sheria hawez kusema kwamba lema kaachiwa tu yaani kufunika kombe mwanaharamu apite??

haya swali la msingi najuaga hukumu nini huenda kwa past ruling experience sasa je nyie wanasheria hamuoni kama kwa hukumu hii mnatengeneza mazingira magumu sana ya hukumu kwenye kesi za uchaguzi zijazo?? manake watalazimika kutumia njia hii hii.
 
gfsonwin mimi siyo dogo....................na nisemacho ni busara tupu. Ijaribu khalafu utanieleza.......one day!
haya bana kwakuwa mm nilikuwa mwanafunzi na bado sijamaliza akusoma ngoja niwe mpole na mtiifu kwa mwl.

nje ya mada hii.

ninaomba kama unaweza unipe madesa ya sheria zote za mazingira including zile sheria za mwendelezo huwa naziita hapa sina maana ya sheria u-download apana ila unitafsirie.

tuanze na environmental act ya 2004. waweza kunitumia kwenye pm ili tusiharibu uzi
 
ahaa! hapa sasa naweza kukuelwa nikiunganisha na mistari ya nyuma uliyotangulia kusema.

nina swali moja dogo sana la kizushi, kwa kufuata mwenendo wa hii rufani mwenye akili kama yangu isojua sheria hawez kusema kwamba lema kaachiwa tu yaani kufunika kombe mwanaharamu apite??

haya swali la msingi najuaga hukumu nini huenda kwa past ruling experience sasa je nyie wanasheria hamuoni kama kwa hukumu hii mnatengeneza mazingira magumu sana ya hukumu kwenye kesi za uchaguzi zijazo?? manake watalazimika kutumia njia hii hii.

gfsonwin walioweka mazingira magumu ya usimamizi wa chaguzi wetu ni mahakama ya rufaa.........siyo watu wengine maana wao wamefanyia kazi mambo ambayo wala siyo yaliyokuwa yakibishaniwa............nimeona nitoe huu ufafanuzi..................mimi wala siyo mwanasheria.....................ufahamu wangu wa sheria ni wa kujituma mwenyewe sijawahi kukaa darasani kusoma sheria na wala sina mpango..............naona ni fani ambayo unaweza ukjifunza bila uhaja wa kukaa darasani..........it is so easy............
 
Last edited by a moderator:
haya bana kwakuwa mm nilikuwa mwanafunzi na bado sijamaliza akusoma ngoja niwe mpole na mtiifu kwa mwl.

nje ya mada hii.

ninaomba kama unaweza unipe madesa ya sheria zote za mazingira including zile sheria za mwendelezo huwa naziita hapa sina maana ya sheria u-download apana ila unitafsirie.

tuanze na environmental act ya 2004. waweza kunitumia kwenye pm ili tusiharibu uzi

gfsonwin tatizo langu ni muda sina...................am 2 busy................bye for now...............i have 2 leave.......
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin walioweka mazingira magumu ya usimamizi wa chaguzi wetu ni mahakama ya rufaa.........siyo watu wengine maana wao wamefanyia kazi mambo ambayo wala siyo yaliyokuwa yakibishaniwa............nimeona nitoe huu ufafanuzi..................mimi wala siyo mwanasheria.....................ufahamu wangu wa sheria ni wa kujituma mwenyewe sijawahi kukaa darasani kusoma sheria na wala sina mpango..............naona ni fani ambayo unaweza ukjifunza bila uhaja wa kukaa darasani..........it is so easy............

hongera kwa kujituma huku, naamin utakuwa mwl kwa vishoka wengine kama mm.

haya tuendelee hivi mahakama ya rufaa huwa yenyewe inapitia hukumu na ushahidi ulowasilishwa mahakamani wakati wa mwenendo wa kesi tu basi?? nikimaanisha kwamba haisikilizi kesi upya?? na je haya ni kwa kesi zote ama ni za uchaguzi tu??
 
It would have been among good judgements in my view if the Election Act was silent on who can challenge election results. The fact that the law is clear and unambigous on that point renders the judgement inconsistent with the law. it seems to me that the justices of the Court of Appeal had in their mind common law while the specific law governing election petitions in Tanzania is the National Elections Act.

This judgement should not remian in the laws of Tanzania as it lay down a very bad precedent which may lead to political problems. For, if the Parliament legislate and the Court constructively amend the legislation which it think bad what will happen if the legislature amends the judgements of courts by enacting new pieces of legislation where it finds that the judgements are bad? Who will be the legislature of legislature and a judge of judge?

The Court of Appeal did not become a legislature.

The Court of Appeal was merely performing its role of interpreting and applying legislation made by Parliament.

You should note that Parliament legislated in the Judicature and Application of Laws Act that our courts should also apply the common law, doctrines of equity and statutes of general application in force in England on the 22 July 1920 (s. 2).

Locus standi, therefore, is a common law doctrine which is applicable in Tanzania by virtue of the Judicature and Application of Laws Act

I don't think in enacting section 111(1)(a) of the Election Act, the Parliament intended that the fundamental principle of locus standi should not apply in election cases.

If Parliament had intended so, then it should have said so expressly.

The judgment in Lema's case will help to avoid frivolous litigation and stop people to hide behind others to sue others.
 
George Jinasa;

Nina swali. Kwa mfano mimi ni mpiga kura wa Ilala na nafahamu kuwa mbunge wa Rufiji sio raia wa Tanzania. Je naweza kupinga matokeo ya uchaguzi kwa sababu mbunge wa Rufiji hana sifa za uraia au itabidi nifungue kasi ya madai ya uraia?

Yes, unaweza kupitia katiba to defend the constitution and the legality.

Lakini pia kuna mechanisms za kumripoti kiongozi ambaye unadhani au una ushahidi kuwa siyo raia wa Tanzania.

Why don't you use those mechanims na kuachia vyombo husika kushughulikia hilo suala?

Kama kuna kiongozi ambaye hana uraia wa Tanzania haina maana kuwa lazima hilo suala liamuliwe na mahakama.

The court should always be used as the last resort.
 
Back
Top Bottom