The making of march 10: JF newest couple! Demiss n Jr

Siku zote nimekuwa najiuliza inakuwaje mwanaume unatumia 'viemojiemoji' vya udaku kama kina mwanahamisi..ila leo uzi huu umenasibisha jinsi akili yako ilivyo cheketuliwa..empty set kabisa
HAHAAAAAA ....ATI NINI ?? UNAONGEA NA MIMI AU WAONGEA NA SIMU
 
Hun namiss vileee unanipakata miguuni huku nimelaza kichwa kifuani mwakooo


Ni mwanamke pekee hapa jf ninayejua macho yakoo baada ya kukuvua miwani.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Demi chamdeko wangu.. Demi wa Jr... Demi wa mimi
 
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Demi chamdeko wangu.. Demi wa Jr... Demi wa mimi
Wenyeee wivuuuu wajinyongeee

Sio kitu rahisi kupendwa na mwanaume anayejielewa kama wee

Ni bahati isiyoelezeka nipo hapa kukupa thamani ya upendo wako kwa hali na maliiii hun.

Nakupenda wewe pamoja na ulozi wako.

Wananiambia eti umenipulizia vibuyuuu

Sikubaliani nao kabisaaaa hata kwa panga.

Nidekezeeeeee Hun wangu kama ninavyopenda kudekaaaaa[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Kama demiss nakubali she is more than that japo sijawahi kumuona. Hongera sana mkuu kwa kuopoa..
 
Haya bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…