The making of march 10: JF newest couple! Demiss n Jr

Asante sana kwa maswali mazuri... Haya ni maswali ya kidunia nje ya hisia za kweli za upendo na mahusiano.....
Naongea ukweli wa moyo hakuna binadamu aso mapungufu na hakuna mkamilifu hata mmoja.. lakini katika maisha we need to chill we need to celebrate...
Nisiongee mengi kuhusu yeye but SHE DESERVED TO BE LOVED! NA ZAIDI TO BE LOVED BY ME! I respect and adore her toka moyoni huwa siangalii background but from where tumeanza... Chamdeko is for real
 
Ambiele Kiviele utaendelea kunawa tu ila hautakula...
 
Nakojooaaaa demi wangu wee dekaaa mama dekaaa
 
Kwa muda gani umemjua Jr kinagaubaga hivi!.
Usitake niamini kipindi chote ulichokuwa mkiwa baada ya kuachwa na ex wako,Jr alikuwa mfariji wako pm!

Uliwahi dokeza kuwa ex wako ni member Wa jf,is this kind of revenge or payback!?
Guy pls muache basi.... We have understanding between us loh.. Tuko tayari kwenye relationship the past doesn't count jamani... Hukumuni from now onwards... Above all ni nani mtakatifu hapa... Let chamdeko enjoy her moments
 
You are forever mine
[emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]mida yetu ya video call hun usisahau leo nimevaa ile zawad uliyonitumia kwenye Kimbinyiko lazima nikuonyeshe jinsi nilivyopendeza.

Asante sana mme wanguuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…