[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji173] [emoji173] [emoji173]Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitaji kuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapo kama ukiwa mbali
"NIACHE NIKUPENDE "
Nakupendaaaaaa sanaaaaaaa
Thamani ya Mapenzi yako ni kubwa kwanguChamdeko wangu mmmmwaaa
Labda nikufe... Na nikikufa bado nitakupenda tu.. I will come back to you in a very strange way... Kamwe hutakuwa mpwekeThamani ya Mapenzi yako ni kubwa kwangu
Haifanani nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali hisia zangu,.
USICHOKE KUNIPENDA MPENZI
Penzi langu kwako ni la milele, nitakuhifadhi moyoni
mwangu siku zote za maisha yangu, uwe wangu nami niwe wako
daima, nakupenda dear…
Mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba
sili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwez
kuipeza,nakupenda wewe pekee
Wale Haters na wenye roho za kwanini kama ukishindwa kuhimili poleni sana hii haina namna ni kwa ajili ya Jr [emoji769] halafu uncensored...Nakupendaaa mme wangu
Moyo wangu umejaaa mahaba teleeeee
Nakupenda mme wangu Jr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]looooh hii ya leo kaliiiLabda nikufe... Na nikikufa bado nitakupenda tu.. I will come back to you in a very strange way... Kamwe hutakuwa mpweke
Utawatoa rohoo mme wanguuu wale visokolokwinyo wasiopenda penzi letuuuuuWale Haters na wenye roho za kwanini kama ukishindwa kuhimili poleni sana hii haina namna ni kwa ajili ya Jr [emoji769] halafu uncensored...
Wacha weee[emoji1]Hahahaaa njoo chemba chamdeko wangu nikuchumu kiduchu nimemiss macho yako midomo yako
Na hata tukitaka kukufa tutakufa woteeeeHalafu hata hivyo naanzaje kukufa kwa mfano..! nikuachie upweke na Maumivu na mafisi kama Asprin[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]SIKUFI NG'OTI
Hane muno pale kwenye kijumba chetu tayar mazingira yapo safiiiiiiTwenzetu hane muno
Na habari hii imfike yule bazazi[emoji35] [emoji35] [emoji35]Na hata tukitaka kukufa tutakufa woteeee
Tukaendeleze penzi letu mbinguni
Naona mafisi wanataman uache tu nyama waichukue .
Sikubali kukufa peke yangu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mahaba mlinganyooooooWacha weee[emoji1]