[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]muongo huyoooShilingi ngapi nitalipa kwa viwango vya dola na riba ya asilimia mia moja
Looh shemeji umekosaa mengi sanaaaa sijui ulikuwa wapi nduguKwani hii harusi bado tu?
Shem mwenzio nilikua busy na wifi yako maana nimevimiss vingi kwa miezi sita.Looh shemeji umekosaa mengi sanaaaa sijui ulikuwa wapi ndugu
Ulisafir nn kwenda kupalilia penziShem mwenzio nilikua busy na wifi yako maana nimevimiss vingi kwa miezi sita.
Nipo likizo nikimaliza nasafiri tena miezi sita nakuja kumliwaza tena.Ulisafir nn kwenda kupalilia penzi
Mm nalala niko na hun hapa alikuwa anachek mpira nikaamua kuchungulia huku usiku mwema wewe endelea kudhurula humu jfNipo likizo nikimaliza nasafiri tena miezi sita nakuja kumliwaza tena.
Hapana sina hata usingizi mimi, maana shem wako kanilaza mchana kutwa.Mm nalala niko na hun hapa alikuwa anachek mpira nikaamua kuchungulia huku usiku mwema wewe endelea kudhurula humu jf
Mi nahisi ntatoboa mpaka asubuhi maana sina usingizi hata chembe.Mm nalala niko na hun hapa alikuwa anachek mpira nikaamua kuchungulia huku usiku mwema wewe endelea kudhurula humu jf
Hahahaaa chamdeko wangu utasababisha turogwe ujue... Thanks for loving me the way you do my lovely soulMme wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu.
Umeniteka moyo na akili yangu pia nahisi kama unatembea na moyo wangu popote paleee maana kila mtu ninayekutana naye barabarani natamani nimwambie jinsi unavyonipendaaa.
Kuitwaa kichaaa kwa sababu nakupenda nipo tayari maana hawajui unanipa nn ?
Hakuna mtu hapendi kupata mwenza anayejua kupenda na kuthamini upendo kama unavyonipa wewe .
Mrs Jr chamdeko.
Hivi na wee unaogopa vimbola[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa chamdeko wangu utasababisha turogwe ujue... Thanks for loving me the way you do my lovely soul
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijajua kama Mshana ni Mpare au Msambaa kama ni Mpare karibu sana wifi nyumbani
vifijo na nderemo vitatawala hahaaa
Nakupenda mpaka nakonda chamdeko wangu [emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji7] [emoji7]Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji.
Huweza kufanya mambo mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.
Ninapokuwa karibu yako huwa napata ulinzi wa kutoshaaa .
Wewe ni kati ya wanaume wanaopatikana hapa duniani kwa bahati sana kama madini ya Tanzanite
Asantee unajua leo hali si shwari tuombee uzimaaaa tu mme wanguNakupenda mpaka nakonda chamdeko wangu [emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji7] [emoji7]
Wameshaanza kuniloga muke yakoooYeah nimeona hata sauti haiko poa kabisa... Subiri nifike kilingeni nikafanye maarifa