Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
SawaHakuna mwisho hapaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHakuna mwisho hapaaaaaaa
Hawawezi kabisaaa kumchukua tenaMi Nakuombea Mema Tuuu Dada Angu Umzibit Uyo Mzee Wa Msoga Nyumba Ya Pili Wasije Wakamchukua
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]kwa maneno haya kweli jaman Lazima tu upendweeeeeNgoja niikopy hii niiedt nimtumie mtu.
Si kwa kutiririka huku...
Basi tu Mbiti, hivi nakusubiri ujuwe..we endelea kunipotezea tu!!kwann umeguna shemasi..
hili gazeti si mchezo..Mwaaa
Habari zako , za moyo wako , za tabasamu lako , za kicheko chako , sauti yako na kila kitu kizuri chako ? Najua kila kitu kitakuwa safi sana kuanzia moyo wako mzuri na mtamu uliojaa upendo na mapenzi ya dhati kabisa ulio mkweli na mvumilivu . Angalia ndani ya moyo wako , utakuta hakuna kitu cha kuficha , pengine unaweza kuficha kwa sababu ni wajibu wa kila mtu katika maisha yake , lakini linapokuja suala la kupendana basi mambo ya kuficha hakuna tena kama ukiwa na uhakika kuhusu uhusiano wako . Nikifikiria kuhusu wewe , nafikiria kuhusu dunia ya mapenzi iliyo nyooka na iliyo katika njia sahihi kabisa , mpaka hapo jua tu mimi na wewe mpaka milele kwenye mabonde twende Dear ,
, baharini tuogelee hata hewani tutapaa . Tabasamu lako ambalo ndio nalipenda zaidi , na kila mara huwa nalihisi liko mbeleni mwangu lakini kama unavyojua muda mwingi uko mbali najaribu kufikiri tu je kama tungekuwa tuko wote masaa 24 siku 7 usiku na mchana sijui ningesema maneno gani kusema za ukweli namisi tabasamu lako maridani Kicheko chako ambacho nikisikia moyo wangu huenda kasi kuliko wakati wowote ule , Dear labda nikuambie kitu Fulani , mimi napenda sana kusikia vicheko , unajua kuna wakati ukiwa sehemu Fulani Fulani jinsi unavyocheka ndio watu wale wanavyoweza kukuweka katika kundi gani , wewe kicheko chako nakuweka katika kundi la wanadamu maridani . Hiyo sauti yako ni zaidi ya Jay zee honey kama hujui au hujawahi kusikia , Jay zee ndio mwanamuziki wa kiume mwenye sauti ya mvuto zaidi duniani mpaka sasa hivi .
Kuna nyimbo moja nzuri kabisa aliimba Coco lee na Julio Iglesius inaitwa WHEN U TELL ME THAT U LOVE ME naomba uisikilize na pengine ungeamua kuimba leo ningekuwa naandika kuhusu kitu kingine cha zaidi . Honey huwa napata furaha sana kila ninapopata wasaa wa kukuandikia email , kila ninapopata nafasi ya kukusalimia wewe , wengine hawapati nafasi hii kutokana na sababu zao mbali mbali , wengine hawana mikono ya kuandika , wengine wameachana na wapenzi wao , wengine wamegombana na wapenzi wao na kadhalika lakini mimi nafurahi nakuandikia email hii kwa furaha kuu kuliko zote . Kikomo naishia hapa , naomba tuendelee kuwasiliana siku nyingine tena , mwisho wa barua moja ndio mwanzo wa barua nyingine nzuri na bora zaidi , kwahiyo usijali sana mr wangu .
Natamani ningekuwa kengele
Ningelia unisikie hapo ulipo
ni wako barafu wa moyo
[emoji813]••.¸¸.• mahabat •.¸¸.••[emoji813]
Cha mdekoooooooooooo
Kuna wawili wengine nishwadaka wakijinasibu kama wanawake na wanaume kwenye thread tofautiNlitaka niulize hivyo. But ujue huku jf jinsia za baadhi ya watu zinabadilika kulingana na mada husika
Siku hiyo najua nitatekaaaa mtaaaaaUkijumlisha Utaalamu wake mi nimemkubali toka utosini.
Mwambie awahishe shughuli basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja niikopy hii niiedt nimtumie mtu.
Si kwa kutiririka huku...
Yap yap.....! Nishatuma. Nasubiri reply.[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]kwa maneno haya kweli jaman Lazima tu upendweeeee
Asanteeee nashukuru kila kitu kitakuwa waziiiiiMshana Jr & Demis, nasubiria updates ya siku ya harusi, tukijaliwa uzima nitatamani kuwa mmoja wa wenye zawadi njema kwenu, kila la heri.
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Utatisha vijiji[emoji3] [emoji3] [emoji3]Siku hiyo najua nitatekaaaa mtaaaaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo miwani huwa huvui au ndio kama ile cheni ya le mutuz..Its between this one and this one n nobody else View attachment 710175View attachment 710176
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hakuna cha tunguli ni upendooo tu.Kweli mapenzi hayana mwenyewe hata walozi nao wanapenda na wana mavoko yao
Umeooona eeeh wala hakuna shidaaaa kaka .Ni bora kieleweke kama hivi ili kuepusha migongano mingine isiyokuwa na tija yoyote
Hivi wewe upo single???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]