The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Aisee mbavu sina.
 
Pumbaaf...vijitu vinakuja kutuchafulia uzi dakika ya 20.

Wameshatafuta vichaka vya kukimbilia.
 
Kibwengo anayefata ni Southampton,, huyu atatueleza ilikuaje akatupiga carabao.
 
Heat map ya grealish inaonyesha leo alitumia muda mwingi kwenye box la Liverpool na sio pembeni kama tulivyomzoea.
 
Pep Guardiola has become the fastest coaçh to record 100 home wins. He has done it in 128 matches.

The former record holder, Arsene Wenger did it in 139 matches.
 
il pep ,ile scene kdb kafunga then wachezaji wa Liverpool Wana fanya warm up pembeni akawa anashangilia anawapa mkono [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baada ya assist ya jana, Riyad Mahrez amekuwa mchezaji wa kiafrika anayeongoza kwa assists katika historia ya Premier league.
 
Kama kawaida kwa mechi za liverpool na man city, bus la liverpool limeshambuliwa wakati likiondoka etihad.
 
il pep ,ile scene kdb kafunga then wachezaji wa Liverpool Wana fanya warm up pembeni akawa anashangilia anawapa mkono [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lile goli la alvarez akashangilia mbele tsimikas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…