Back 3 Leo tutaumbuka mapema aisee..Business as usual, pep anataka Ku colonize midfield kama kawaida, wale wakimbiaji pale mbele nawawaza tutawazuia vipi wakati watakapo break free kwenye counter
Tena ilikuwa ni comeback, leo 3 atazinywa tena.Mara ya mwisho kucheza na Bayern etihad tulishinda goli 3-2 mwaka 2013...
Our very own kun aguero banged a hat trick.
GugoHii mechi naicheki wapi wadau
Let LINK basi !Gugo
Rodri kakushika matakoPepo ana gundu na UEFA