...kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... nyie kama Spurs tu, kelele miiiiingi, hamkujua soda ni gesi tu?
kwaherini!
Mr bean( Wenger) hapo ni kweli kwa walivyopelekwa puta leo ni kweli Sir alikuwa right.ferguson alisema man city is a small club with a small mentality.
Hapa wenyeji ndio wamekimbia kabisa naona draw zinawaandama alafu mshukuru mna kipa mzuri angekuwa kimeo mngetunguliwa nyingi tuu.Yani hawa rich boyz wanatoa draw ya 5 mfululizo heheh. Ndio maana Makalangilo alihamua kulikimbia hili jukwaa mapema.
Mhh..hii thread hivi itadumu kweli?
nimekubamba sijakubamba?!
...wamefuliaaaaaa, aha ha haaa... 😀!!!!
Man City bado sana ,labda baada ya misimu 2
Adebayor kachomoa