Alnadaby
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 505
- 41
...kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... nyie kama Spurs tu, kelele miiiiingi, hamkujua soda ni gesi tu?
kwaherini!
Safari ndefu haikosi vipingamizi.Man Cityinahitaji marekebisho kidogo tu,na itafika big 4.Kwa mfano mechi ya jana ambapo Fulham walisawazisha na kuwa 2-2 iliuma sana hasa baada ya ManCity kuongoza 2-0 hadi half time.