Agustin kun Aguero
JF-Expert Member
- Mar 22, 2023
- 532
- 641
Gomez hamna mchezaji pale aisee.Sergio gomez hana confidence, ile game ya carabao ndio aliniacha hoi, palmer at least anajitahidi.
McAtee ana experience kubwa kuliko palmer hope atarudishwa msimu ujao.
Shelffield wana mpango wa kuwabakisha.McAtee deal lake la mkopo linaisha mwisho wa msimu huu, summer anarudi, pamoja na tommy doyle.
Bayern akikomboa goli 3 basi tutakua tuna laana special.Pep anasema tukio la ugomvi kati ya Sane na Mane inaweza kuleta motisha kwa Bayern Munich kuelekea mchezo wa jumatano.
Suspension ya Mane imeshaisha na atakuwepo hiyo siku.
Hiyo ni namna ya kujenga mentality ya kupambana kwa wachezaji.Pep anasema tukio la ugomvi kati ya Sane na Mane inaweza kuleta motisha kwa Bayern Munich kuelekea mchezo wa jumatano.
Suspension ya Mane imeshaisha na atakuwepo hiyo siku.
🤣🤣🤣🤣🤣 andika kiswahili mkuu kingeleza kashesheHey pupul's how are you
Mkuu huu ni ukweli mchungu watu wasio penda kuusikia lakini watajionea labda wajitoboe machoNASEMA HIVII
Manchester city anabeba Uefa, Epl pamoja na FA
Hapo ac milan kuna huyo dogo anaitwa Braham diaz, huyu dogo sijui ilikuaje tukamuuza. Ni winga moja matata sana.Bastian Schwastaigger katabiri fainali ya UEFA itakuwa ni:
MAN CITY vs AC MILAN
Huyu mwamba kwa miaka ya hivi karibuni timu anazozipa favour kwenye tabiri zake outcome huwa inakuja vice versa, isije ikawa katupa laana huyu.
Huyu baada ya kugraduate academy madrid walileta mpunga na kama unavyojua city haina sera za kung'ang'ania mchezaji.Hapo ac milan kuna huyo dogo anaitwa Braham diaz, huyu dogo sijui ilikuaje tukamuuza. Ni winga moja matata sana.
English is not my language[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] andika kiswahili mkuu kingeleza kasheshe
Mkienda semi tutawafanya kitu kibaya sana bora mtoke tu kiroho safi.Karibuni kibanda umiza muone tunavyopindua mezaView attachment 2591689
Madrid walimnunua, ingekua haina maana kumng'ang'ania wakati hapati muda wa kucheza, ni kuharibu future yake.Hapo ac milan kuna huyo dogo anaitwa Braham diaz, huyu dogo sijui ilikuaje tukamuuza. Ni winga moja matata sana.