Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Poleee next mnakutana na Madrid mtapigwa mtanyeshewa mvua ya magoliHizi game huwa zinaenda kuisha draw hivihivi kiboya boya.
Pep anataka kutuingiza chaka huyuKDB anatakiwa kuwepo humu ndani, hii hali sio nzuri kabisaaa.
Yaan afu tukutane na Madrid kwa hali hii?? Mbna hatuko serious jaman khaaahPep anataka kutuingiza chaka huyu
Pep kaingia na approach kama kwenye game ya arsenal, hakuna definite playmaker ndio nadhan kaanza na Alva.Hii game fulham wanacheza kwa tahadhari sana, inahitajika creative reinforcement nyuma ya mpira.