The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Fulham tuna makombe mengi kuliko Mwacity [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]🀍🀍🀍🀍🀍🀍🀍🀍🀍🀍
 
KDB anatakiwa kuwepo humu ndani, hii hali sio nzuri kabisaaa.
 
Hii game fulham wanacheza kwa tahadhari sana, inahitajika creative reinforcement nyuma ya mpira.
 
Tukitoka draw tumekwisha aseeee

😭😭😭😭😭😭😭
 
Hii game fulham wanacheza kwa tahadhari sana, inahitajika creative reinforcement nyuma ya mpira.
Pep kaingia na approach kama kwenye game ya arsenal, hakuna definite playmaker ndio nadhan kaanza na Alva.
 
Namna grealish na mahrez wanavyostretch backline ya fulham, naona alvarez ana goli jingine hapa sababu ndie anakua late arrival.
 
Mpaka mpewe penalty upara fc nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…