The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Ni kichaa tu ndiye aliyeamini madrid atapita kwa city.

Msimu uliopita ni defence pekee ndio ilituangusha plus some unlucky moments.
Etihad tulimpiga goli 4, wao wakarudisha goli tatu, wing backs fernandinho na zinchenko.

Bernabeu tukawapiga tena but bahati haikua kwetu.

This time tuko na solid defence while madrid hawajabadilika kitu, mtu bado anasubiria madrid afanye miujiza ya msimu uliopita, funny.
 
Tunaona Brighton aende Spain
Brentford Italy
Newcastle Germany
Crystal Palace France

wakatuletee ayo makombe ndo wawe challenge uefa mana hizo ligi hazina timu bora ni kama kitayose ya tabora
 
The problems is, watu wanaishi kwa mazoea, wamekariri kwa madrid huwa anamtoa city semi final, ukiwaambia facts za kimpira unaonekana hujui mpira kisa tu, ni shabiki wa city.
 
Julian Alvarez has become the youngest argentine to score in UCL, surpassing Lionel Messi.
 
Kwamba na leo wanafufuka injury time? emu kueni serious.
Jana naona Vini, Benzema na Rodrygo wamewekwa mfukoni
Kama magoli yote ya wazi yangeingia matokeo yangekuwa 8-1
Hongereni kwa ushindi ila msibweteke
Kumbuka sisi Chelsea 2021 mlijua wazi mtatufunga lakini ikawa tofauti
Intermilan wanaweza wakawafanyia walichowafanyia Barcelona na Bayern 2010
 
Citizens!!!!!!!!!!
[emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
Huu mwakaa wetuu.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Na haturungiiii wala nini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waelezeeeeeeeeeee
 
Wakuu, tuanze maandalizi sasa ya kuupokea ubingwa wetu wa kwanza siku ya jumapili.

Three finals.

Man city vs chelsea

Man city vs Man utd

Man city vs Inter (the bigger one)
Inter hawa tuwabondee km hatuwajui vileeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Citizens!!!!!!!!!!
[emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
Huu mwakaa wetuu.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Na haturungiiii wala nini.
Hatunywi sumu hatujinyongi
 
Msije mkashangilia saana mkajisahaulisha, naye jana Yanga katinga fainali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…