The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Inter Milan Bingwa Tukutane 10 JUNE Istanbul, Lukaku akiwaga Belgium ni mzembe ila Akiwa Inter ni Messi mtupu.

Ngoja nikanunue Jezi ya Inter kabsa tayar kwa kushangilia Ubingwa wao,

Hawa Man City(Nyumbu pro) ni Timu bora EPL tu ila UEFA watasubiri sana na Hilo litadhihirishwa Na aliyewah kuwa Bingwa wa wakt Huo, na sasa amelud tena Kwny Ufalme wake Mnyama Inter Milan AKA Milano

Man city Hiyo siku kitu pekee mnachoweza kufunga hiyo siku ni Kufunga Chupa za Maji tu Tukutane 10 JUNE, Wanangu Inter Dunia ipo Nyuma yenu Tunataka Mshinde hizi Nyumbu za Man city zina kelele sana Kam wenzao wa Man utd,

Alf mm Nashangaa hivi Man city imepata Lini Mashabiki Bongo, nyie wote ni watu mliokimbia klabu zenu za Man utd,chelsea,Arsenal na Liverpool hebu mlud Kwny Timu zenu huko.


INTER MILAN BINGWA 2023 Historia inaandikwa Tena,

Mapasi Kumi(Man City) hawatoamini Macho Yao.
 
Tesekaaaaa taratibuuuuu kijanaa, kwan lazimaa upige keleleeee??

Citizen huu mwaka tuna jambo letu kwa UEFA.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Tesekaaaaa taratibuuuuu kijanaa, kwan lazimaa upige keleleeee??

Citizen huu mwaka tuna jambo letu kwa UEFA.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
kabla Ya Man city ulkuwa Shabiki wa Timu gani. Maan nyie wote Naiman Mmeivamia tu Man city lakin Mna timu zenu Halisi em Ludini. Tukutane 10 JUNE Bingwa Inter Milan
 
This time no lucky the best will win CL ..

Tutamkanda inter millan mpaka yeye mwenyewe atatamani kukimbia uwanja .....kama Madrid tulivo mnyoroosha ...

Sisi hatuchezi kumaliza muda ,tunacheza kuhakikisha opponent analia machozi ya damu na kusema chukua kombe Hilo hapo ....
 
[emoji2424] Luka Modrić (Real Madrid C.F.): "Manchester City have been superior. We have to recognize it and congratulate them. Now we have to assimilate the defeat and then we will see what happens.."
 
Paul Merson:

"Man City winning this season's treble will be a bigger achievement than Man United's in 1999."

Man UTD iliyoshinda trebel haikuwa ya moto kama city ,city is total dominating the opponent...

Kama tukichukua CL basi tutakuwa timetengeneza bonge la histroria
 
No more suprises.
Ile 2021 ni pep tu alioverthink, pep ndie alitukosesha lile kombe ila this time around, it's banger after banger after banger.
 
PARTY AFTER PARTY

Sunday- EPL tittle

2 warm up matches (brighton, brentford)

June 3- FA cup

June 10- UCL trophy

how do they call it?
UNPRECEDENTED TREBLE.
 
Inter tutawafunga, mwaka huu na sisi tuonje ladha ya hili kombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…