The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Saizi pep hana cha kuwambia Tena wachezaji kwenye dressing room ,maana watakuwa na medali ya kila kombe ,...tunahitaji damu changa nyingine mpya zitakazo pambania timu ...

Kuna wachezaji nawaona kabisa next season kiwango kikiwa chini ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…