Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Kwa haya mambo yanayoendelea kwenye media Bora deal la gvardiol tupige chini ...vyanzo vingi tu vilisema tumekubali kulipa iyo £86m (€100m).
Hii game yetu sijajua kama DStv wataonesha ,but Kuna app unaweza download ukacheki game mzee ....Oi wazee hivi hizi mechi za kirafiki za uingereza zinaoneshwa DSTV? Maana leo man city ana mechi ya kirafiki na YOKOHAMA inachezwa saa saba mchana
Game yetu ni mapema kabisa ,saa Saba ,wacha nifanye mambo yangu mapema ,nasubili kandanda safi ...
Game ya Chelsea walionesha ....Huja fatilia game zingine za kirafiki kama DSTV wanaonesha ? Maana hata sielewi hapa
Huyu palmer yupo kama Kai havert wa arsenal ,too soft ,sijui gmy huwa haendi ....harafu anapenda kukokota mpira ,energy ya kuhold mpira hana ....
Nimetafuta sijaiona.Wanaonesha DSTV?
We jamaa unafurahisha sanaMwacity upara fc mkipata kombe Lolote msimu ujao mniite ashura cheupe