Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Hii deal imeshabuma tu , gvardiol ni defender mzuri lakin sio Kwa bei hio ...Leipzig sijui wanakwama wapi, walikua wanataka €100m tumekubali, bado wanataka tuongeze ad ons [emoji1787]
Gvardiol mtu sana yule, pep mwenyewe anapush deal hilo.Hii deal imeshabuma tu , gvardiol ni defender mzuri lakin sio Kwa bei hio ...
Hana hata vina Saba vya Ramos ...
Gvardiol ni normal defender tu mkuu ,kama kina dias ,akanji ,....hio pesa tunayotaka kumpa ni kutokana na media kuhype zaidi ...ila ni pesa kubwa mnoo ...Gvardiol mtu sana yule, pep mwenyewe anapush deal hilo.
Vinasaba vya Ramos ni kama vipi coz gvardiol ni ball carrier, passing monster, tactical awareness na physicality vipo na ana miaka 21 tu.
Jaribu kumfuatilia utagundua pale tuna jembe haswa ka tukimpata.
Naona tuvunje benki tu, vitu vizuri lazima ugharamie.
A club with neither indetity nor history.Timu yatima hii, imeka kimchongo mchongo sana
0 CL football club ...Timu yatima hii, imeka kimchongo mchongo sana
Kati ya arsenal na man city ni club gan yenye historia ulaya na uingereza [emoji23][emoji23][emoji23]A club with neither indetity nor history.
Unaumwa wewe yaani ulinganishe Arsenal na hiyo takataka Man shitty.Kati ya arsenal na man city ni club gan yenye historia ulaya na uingereza [emoji23][emoji23][emoji23]
3epl
0 CL
Hivi club kama hio ndio ya kusema ina historia....
Siwezi bishana na team Lina 0 CL ....Unaumwa wewe yaani ulinganishe Arsenal na hiyo takataka Man shitty.
Kuna Liverpool na Manchester United, baada ya hapo ni Arsenal.
Hamuoni hata humu kwenye uzi wenu, timu ina mashabiki wawili.
Halafu Arsenal ina makombe 13 ya Epl sio makombe 3 kama unavyosema.
Hilo haliondoi ukweli Man shitty ni timu yatima haijachangamka.Siwezi bishana na team Lina 0 CL ....
Katafute team nyenzako ambazo ni 0 CL , huna hadhi hata ya kuingia kwenye Uzi wa treble winner ...
Harafu jf ni mtandao mdogo Sana ndio maana haujulikani hata nyumba mbili za jirani zako ....
Shabiki wa man city wapo kila Kona huku jf sio justification ya kujua mashabiki wa city ....
Go to the hell mothfu***k 0 CL football club [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni mpumbavu na mjinga ,hizo 13 epl mmechukua Lin ,siunaona ...Unaumwa wewe yaani ulinganishe Arsenal na hiyo takataka Man shitty.
Kuna Liverpool na Manchester United, baada ya hapo ni Arsenal.
Hamuoni hata humu kwenye uzi wenu, timu ina mashabiki wawili.
Halafu Arsenal ina makombe 13 ya Epl sio makombe 3 kama unavyosema.
Si unaona sasa tukisema Man Shitty ni plastic fans mambugila mbugila tu ambao wamevamia mpira.Wewe ni mpumbavu na mjinga ,hizo 13 epl mmechukua Lin ,siunaona ...
Mimi siwezi bishana na takataka kama nyie ,ni Bora kubishana n shabikii wa Chelsea an UTD au Liverpool sio hio club to inaanza haina historia yeyote....
Wewe kama shabiki wa arsenal una historia gani balani ulaya ? Ulishafanya Nini ulaya mpaka dunia yote ikasema yess this is the biggest club ....kama sio kutembea na bendele za mashoga [emoji23] # gaygunner mkubwa wewe tafuta team za kubishana nazo mzee sio club kubwa kama hii ....hujatufikia Kwa lolote [emoji23]
Mimi siwezi bishana na wazee kama nyie ,mlioanza kuangalia mpira miaka 90 ndio maana ni mashabiki wa arsenal ,zinguuka mtaani kote ukikutana na shabiki wa arsenal kijana kama mim njoo nikupe laki ,...Hilo haliondoi ukweli Man shitty ni timu yatima haijachangamka.
It has neither history nor identity.
Plastic club with plastic fans.