Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Unazidi kuonesha ni namna gani wewe ni mpumbavu hujui football taja miaka ambayo arsenal amechukua epl mara 13 ,team pekee yenye makombe mengi ya epl ,ni man UTD 13 ....Si unaona sasa tukisema Man Shitty ni plastic fans mambugila mbugila tu ambao wamevamia mpira.
Sasa unabisha Arsenal haina makombe 13 ya Epl?
Unaonekana hujui chochote kuhusu soka.
Au hujui hata epl kama imeanza mwaka 1992 [emoji23][emoji23][emoji23]