Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Unazidi kuonesha ni namna gani wewe ni mpumbavu hujui football taja miaka ambayo arsenal amechukua epl mara 13 ,team pekee yenye makombe mengi ya epl ,ni man UTD 13 ....Si unaona sasa tukisema Man Shitty ni plastic fans mambugila mbugila tu ambao wamevamia mpira.
Sasa unabisha Arsenal haina makombe 13 ya Epl?
Unaonekana hujui chochote kuhusu soka.
Arsenal bado ina mashabiki wengi under 25 hapa bongo kuliko Man Shitty.Mimi siwezi bishana na wazee kama nyie ,mlioanza kuangalia mpira miaka 90 ndio maana ni mashabiki wa arsenal ,zinguuka mtaani kote ukikutana na shabiki wa arsenal kijana kama mim njoo nikupe laki ,...
Mim hata sijui hio arsenal ni club ya namna gani coz Haina hata maajabu yeyote ,haijawahi kufanya kitu Chochote mpaka dunia ika appreciate,...
Hio arsenal ya Wenger ya mwaka 2003 ya invisible nayo haikuchukua hata Europa [emoji23]
1992 it was just transformation ligi ilikuwepo kabla ya 1992.Unazidi kuonesha ni namna gani wewe ni mpumbavu hujui football taja miaka ambayo arsenal amechukua epl mara 13 ,team pekee yenye makombe mengi ya epl ,ni man UTD 13 ....
Au hujui hata epl kama imeanza mwaka 1992 [emoji23][emoji23][emoji23]
English premier league (epl ) imeanza mwaka 1992 ,hio miaka mingine ilikuwa inaitwa jina lingine huko [emoji23]....mim halinihusu ...1992 it was just transformation ligi ilikuwepo kabla ya 1992.
Kwa hiyo mkiristo aliyekuwa anaitwa Yohana akisilimu akaitwa Hamis anakuwa mtu tofauti.English premier league (epl ) imeanza mwaka 1992 ,hio miaka mingine ilikuwa inaitwa jina lingine huko [emoji23]....mim halinihusu ...
Arsenal ana epl 3,mbona unakaza fuvu [emoji23][emoji23]Kwa hiyo mkiristo aliyekuwa anaitwa Yohana akisilimu akaitwa Hamis anakuwa mtu tofauti.
Hujui hata ligi kuu ya bongo iliwahi kuitwa ligi daraja la kwanza.
Arsenal ina makombe mengi kuliko Man Shitty.Sasa tuende hoja Kwa hoja ....
Wewe arsenal una historia gani kwenye mpira uingereza na ulaya ....
Ukiachana na invisible ya mwaka 2003/2004 ,....
Huenda hujui maana ya historia wewe [emoji23]...
Huu ni mwaka wa 20 Sasa hujashinda taji la league,imagine miaka 20 ,hivi una akili sawa sawa kabisa kubishana na mim wewe mzee[emoji23][emoji23][emoji23]treble winner,the best club in the world, Toka una miaka 5 tunacheza na wewe hujawahi nifunga ...
Wewe arsenal..
Huniwezi uwanjan ...
Huniwezi kwenye makombe maana una 0 CL ..
Huniwezi ki upana wa kikosi ..
Club yako ni ndogo mno kama punje ya mchanga ukisimama mbele ya man city ....
Hunizid Kwa kila kitu ...
Na tarehe 6 tunakutana uwanjan uone Nan mwanaume na mvulana ...
Leta data ....Arsenal ina makombe mengi kuliko Man Shitty.
Unachotuzidi ni UEFA tu.
Na hiyo ndio maana ya historia.
Hata mashabiki na umaarufu Arsenal ni mara milioni ya Man Shitty.
Na ajue kuwa tupo saaana tu tena full shangwe.Siwezi bishana na team Lina 0 CL ....
Katafute team nyenzako ambazo ni 0 CL , huna hadhi hata ya kuingia kwenye Uzi wa treble winner ...
Harafu jf ni mtandao mdogo Sana ndio maana haujulikani hata nyumba mbili za jirani zako ....
Shabiki wa man city wapo kila Kona huku jf sio justification ya kujua mashabiki wa city ....
Go to the hell mothfu***k 0 CL football club [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni new era chalii yangu. Kuichukia City utapata kisukari bure. History in the making.Unaumwa wewe yaani ulinganishe Arsenal na hiyo takataka Man shitty.
Kuna Liverpool na Manchester United, baada ya hapo ni Arsenal.
Hamuoni hata humu kwenye uzi wenu, timu ina mashabiki wawili.
Halafu Arsenal ina makombe 13 ya Epl sio makombe 3 kama unavyosema.
UEFA ngapi makombe yote ya EPL HUJAZALIWAUnaumwa wewe yaani ulinganishe Arsenal na hiyo takataka Man shitty.
Kuna Liverpool na Manchester United, baada ya hapo ni Arsenal.
Hamuoni hata humu kwenye uzi wenu, timu ina mashabiki wawili.
Halafu Arsenal ina makombe 13 ya Epl sio makombe 3 kama unavyosema.
Yatima anaekugonga dailyHilo haliondoi ukweli Man shitty ni timu yatima haijachangamka.
It has neither history nor identity.
Plastic club with plastic fans.
Wanafungwa na buyer 10Wewe ni mpumbavu na mjinga ,hizo 13 epl mmechukua Lin ,siunaona ...
Mimi siwezi bishana na takataka kama nyie ,ni Bora kubishana n shabikii wa Chelsea an UTD au Liverpool sio hio club to inaanza haina historia yeyote....
Wewe kama shabiki wa arsenal una historia gani balani ulaya ? Ulishafanya Nini ulaya mpaka dunia yote ikasema yess this is the biggest club ....kama sio kutembea na bendele za mashoga [emoji23] # gaygunner mkubwa wewe tafuta team za kubishana nazo mzee sio club kubwa kama hii ....hujatufikia Kwa lolote [emoji23]
Sasa likes zina maana gani!?Arsenal bado ina mashabiki wengi under 25 hapa bongo kuliko Man Shitty.
Kwa sababu ni timu kubwa yenye historia na utamaduni.
Mimi nimezaliwa mid 90's sijaanza kuangalia mpira hata hiyo miaka ya 90 unayoisema.
Picha ya twitter ya declan rice kusainiwa kusainiwa Arsenal ina likes nyingi kuzidi picha ya man city wakiwa wamekabidhiwa kombe la UEFA.
4-0😎Nyie kenge mmebanduliwa hamna timu Mwacity upara fc