Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
[emoji23]Leo hawa wapuuz wamepata pa kuongelea walau maana vipondo tulivokua tunawapa mfululizo walikua wanakosa raha sana.Kuna vijeba wamekuja kutema nyongo humu, hichi kisahani kimewapa nafasi ya kupumua make vichapo ambavyo huwa tunatembeza ni balaa, tunachekwa mara moja kwa mwezi.
Mhh. Mbona sijaona comments nyingi za watu wa Arsenal humu? Wamekuja mashabiki wachache tu kuwatania humu, wa timu tofauti na kati yao ni Carasco Putin asiye eleweka hata Yuko wapi.Kuna vijeba wamekuja kutema nyongo humu, hichi kisahani kimewapa nafasi ya kupumua make vichapo ambavyo huwa tunatembeza ni balaa, tunachekwa mara moja kwa mwezi.
Timu nyingi nzuri hazina uzoefu na penalties maana huwa zinakamilisha mauaji yake ndani ya regular time. Ila usihofu sana Pep ni detail oriented sana na kama ameona hili ni tatizo kwake hakika atalishughulikia haraka sanaCommunity shield hii tumejufunza ...
We are not good in penalty kick ..
Our goalkeeper can't save penalty ...
We have to train more in penalty kicking ...
Super cup tunacheza na sevila ,na Sheria zimebadilika kabisa ,baada ya dakika 90 hakuna extra time ni penalty kick ,mbaya zaidi tupo hovyo hapo ....
Yeah, tulikua tunashindwa kupenya kabisa, ilikua ni side passes tu za kutosha.Wakuu
kuna jambo kama nmeliona ni la kuhofia sana, team bila KDB inakosa creativity yoyote na pia graph inazid kushika sababu ya umri. Angalau alivokuwepo Gundogan
Mimi nilishaliona ...Wakuu
kuna jambo kama nmeliona ni la kuhofia sana, team bila KDB inakosa creativity yoyote na pia graph [emoji410] inazid kushika sababu ya umri. Angalau alivokuwepo Gundogan
Matokeo mliyopata Jana ni kama mmewin 1-1 [emoji23][emoji23][emoji23]....Mhh. Mbona sijaona comments nyingi za watu wa Arsenal humu? Wamekuja mashabiki wachache tu kuwatania humu, wa timu tofauti na kati yao ni Carasco Putin asiye eleweka hata Yuko wapi.
Wote tunajua hii ni friendly. Wote tunajua Pep na Arteta wote waliichukulia hii game kama zaidi ya friendly. Wote tunajua Man City imekuwa ngumu kuifunga Kwa kucheza style yetu ya mpira Kwa miaka mingi yet tunaona hilo ndilo tunajaribu kurekebisha. Beat the best with entertaining football na wote tunaona kuwa taratibu tunaanza kufikia malengo yetu. Soon enough tutarudi zama zetu za 80s and 90s Kwa City kuwa kibonde wetu tena. It's been a long time coming but dalili ya mvua ni mawingu na hofu yenu kuwa sleeping giant kaamka inaonekana wazi.
Pia msijipe ufahari msionao, sisi hatuna muda na jukwaa hili kiushabiki na kimajadiliano. Tuko busy na mahasimu wetu wa kweli kina Man U na Liverpool ambao hata wakimaliza wa sita tuko nao kuchangamsha genge kwao.
lakini hatuna muda na nyie maana tunawaona kama hamna mashabiki wengi na tunawaona kama glory hunters flani tu.
Tunapita mara moja moja tu kuona yule shabiki mmoja wa City anayewakilisha hili jukwaa kapost Nini.
Ndiyo maana nikasema tunawaheshimu na mmetutesa sana ila ukiangalia kiuchezaji, tulikuwa tumelala ila Sasa tunaamka.Matokeo mliyopata Jana ni kama mmewin 1-1 [emoji23][emoji23][emoji23]....
Kila Kona nayopita nasikia arsenal kawin,ila kila nikiangalia mpira naona arsenal alidraw ...
Kiufupi arsenal mnasafari kubwa Sana , hio arsenal ya 90 unayosema mim sikuiona ila sijaona kama arsenal ni opponent wa kutusumbua kwenye league kabisa ....
Kocha wenu Bado ni muoga ...
Wachezaji wenu wakikutana na city ni waoga ....
Golden Chance never come twice ile bahati ya Jana ya deflection usijekufikili itakuja kitokeaTena [emoji23]...
Tutakutana PL ....
Sasa hapa wewe ndo unajipa umuhimu ambao huna.Mhh. Mbona sijaona comments nyingi za watu wa Arsenal humu? Wamekuja mashabiki wachache tu kuwatania humu, wa timu tofauti na kati yao ni Carasco Putin asiye eleweka hata Yuko wapi.
Wote tunajua hii ni friendly. Wote tunajua Pep na Arteta wote waliichukulia hii game kama zaidi ya friendly. Wote tunajua Man City imekuwa ngumu kuifunga Kwa kucheza style yetu ya mpira Kwa miaka mingi yet tunaona hilo ndilo tunajaribu kurekebisha. Beat the best with entertaining football na wote tunaona kuwa taratibu tunaanza kufikia malengo yetu. Soon enough tutarudi zama zetu za 80s and 90s Kwa City kuwa kibonde wetu tena.
Pia msijipe ufahari msionao, sisi hatuna muda na jukwaa hili kiushabiki na kimajadiliano.
Team ambazo arsenal ataingia Kwa kujiamin Kwa Sasa ni Liverpool,man UTD ,Chelsea ......ila likija Kwa city mashabiki wote wa arsenal duniani wanaingia uwanjan roho mkononi hawajui kitakachowakuta ....Ndiyo maana nikasema tunawaheshimu na mmetutesa sana ila ukiangalia kiuchezaji, tulikuwa tumelala ila Sasa tunaamka.
Sasa una fursa ya kuziona zile zama za nyie mlivyokuwa vibonde wetu maana zinarejea hivi punde. Chelsea nao walitutesa sana ila Sasa tumewarudisha kwenye nafasi yao. Manyumbu nao wanaelekea huko. Nyie pia mtafika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawaNalewa kisenge nina miezi miwili inatimia kesho kutwa tarehe 12 nawaka tu
Kumbe ni Dias.Huyu ni chuma ,ukuta nondo ,dias [emoji23]
Duuuh sijui kwann uliandika, [emoji24][emoji24]Sasa tuende hoja Kwa hoja ....
Wewe arsenal una historia gani kwenye mpira uingereza na ulaya ....
Ukiachana na invisible ya mwaka 2003/2004 ,....
Huenda hujui maana ya historia wewe [emoji23]...
Huu ni mwaka wa 20 Sasa hujashinda taji la league,imagine miaka 20 ,hivi una akili sawa sawa kabisa kubishana na mim wewe mzee[emoji23][emoji23][emoji23]treble winner,the best club in the world, Toka una miaka 5 tunacheza na wewe hujawahi nifunga ...
Wewe arsenal..
Huniwezi uwanjan ...
Huniwezi kwenye makombe maana una 0 CL ..
Huniwezi ki upana wa kikosi ..
Club yako ni ndogo mno kama punje ya mchanga ukisimama mbele ya man city ....
Hunizid Kwa kila kitu ...
Na tarehe 6 tunakutana uwanjan uone Nan mwanaume na mvulana ...
Hata Final ile ya UEFA, alipotoka KDB team ilikoda utulivu, aaah.Wakuu
kuna jambo kama nmeliona ni la kuhofia sana, team bila KDB inakosa creativity yoyote na pia graph [emoji410] inazid kushika sababu ya umri. Angalau alivokuwepo Gundogan
Kuna shabiki wa arsenal alikuwa kanichefua mkuu [emoji23][emoji23]mim mwenyewe nikisoma siamin kama niliandika mim ...Duuuh sijui kwann uliandika, [emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas sawa.Kuna shabiki wa arsenal alikuwa kanichefua mkuu [emoji23][emoji23]mim mwenyewe nikisoma siamin kama niliandika mim ...
Kovacic anachukua nafasi ya gundo ,sijui kama ataweza kuvaa viatu vyake ...Hata Final ile ya UEFA, alipotoka KDB team ilikoda utulivu, aaah.
Naogopaa
Mm ni arsenal DAMU shabiki kindakindaki wa Arsenal shahidi FlanoMhh. Mbona sijaona comments nyingi za watu wa Arsenal humu? Wamekuja mashabiki wachache tu kuwatania humu, wa timu tofauti na kati yao ni Carasco Putin asiye eleweka hata Yuko wapi.
Wote tunajua hii ni friendly. Wote tunajua Pep na Arteta wote waliichukulia hii game kama zaidi ya friendly. Wote tunajua Man City imekuwa ngumu kuifunga Kwa kucheza style yetu ya mpira Kwa miaka mingi yet tunaona hilo ndilo tunajaribu kurekebisha. Beat the best with entertaining football na wote tunaona kuwa taratibu tunaanza kufikia malengo yetu. Soon enough tutarudi zama zetu za 80s and 90s Kwa City kuwa kibonde wetu tena. It's been a long time coming but dalili ya mvua ni mawingu na hofu yenu kuwa sleeping giant kaamka inaonekana wazi.
Pia msijipe ufahari msionao, sisi hatuna muda na jukwaa hili kiushabiki na kimajadiliano. Tuko busy na mahasimu wetu wa kweli kina Man U na Liverpool ambao hata wakimaliza wa sita tuko nao kuchangamsha genge kwao.
lakini hatuna muda na nyie maana tunawaona kama hamna mashabiki wengi na tunawaona kama glory hunters flani tu.
Tunapita mara moja moja tu kuona yule shabiki mmoja wa City anayewakilisha hili jukwaa kapost Nini.
[emoji23][emoji23][emoji23] Carasco Putin ni Arsenyau lialia iwe mvua iwe jua, daaahh ila wewe jamaa ni miongoni mwa mashabiki wachache wa soka wanaoifurahia na kuifaidi sana burudani halisi ya football.Mm ni arsenal DAMU shabiki kindakindaki wa Arsenal shahidi Flano