Ndo ukubwa wenyewe, wanasema ukubwa unakuja na majukumu yake, acha tuyabebe hatuna namna.Pep anailaumu premier league kwann wamegoma kusogeza game yetu na Newcastle kuchezwa jumapilj au jumatatu .... Tunacheza jumamosi ...siku mbili tu baada ya kucheza na sevilla ...
Hii game na Newcastle naona itakuwa ngumu kwetu ,tena Sana ...
[emoji2424] Pep Guardiola: "Thank you so much to the Premier League for letting us play on Saturday, and not Sunday or Monday. Thank you so much."
View attachment 2719521
Kuna muda naona kuchezesha haaland na Alvarez wote kwa pamoja tunakuwa exposed katikati ...Vs Newcastle twende na hii
Ederson
Walker Stones Dias Ake
Rodri Kovacic
Bernado Alvarez Foden
Haaland
Sahihi Palmer physique yake bado sana kushindana na beki watukutu wa EPL anafaa kama sub. Tunahitaji RW mpya na usajili wa Paqueta ukamilike mapema.Kuna muda naona kuchezesha haaland na Alvarez wote kwa pamoja tunakuwa exposed katikati ...
Hao wote ni striker by nature wanahitaji mipira kurishwa ...so mzigo unakuwa mkubwa tukipoteza mpira ..
Hapa inabidi kwa namna yeyote kovacic ajitahid kupiga cross kwa haaland....
Kovacic anajitahidi kupiga pass kwa haaland lakin movement na pass hazifiki kwa wakati ...
Toka mahrez na kdb ,sion mwingine mwenye uwezo wa kupiga free kick ...
Hata foul za kutenga pep kampa majukumu foden lakin foden hawez ,cross zake hiziko vzuri ,ngumu mno kutunga ...
Hatuna winger ,Palmer ni talented lakin Hana experience sion Kama ni mtu wa kutegemea uefa ,epl ,....
Hawa Newcastle akili inahitajika tu ,tukitulia tunawafunga ...Mwaka huu mgum sn kwetu labda msimu utapopinduka tutakaa sawa
Newcastle watatusumbua sanaaaaa
Paqueta dili nimekufa kifo kibaya sana maana ajali mbaya sana imetokaDirisha linakaribia kufungwa bado tunajivuta, leta uyo doku na paqueta tuendeleze mapambano.
FA hawawezi kubali City achukue EPL mara 4 mfululizo tujiandae kisaikolojia huu msimu mgumu kwetu.Sisi kama kawaida yetu kuanzia january tunakiwasha tena mpaka mei then ndoo.
Sasahivi ngoja tujikongoje, Newcastle atapigika kigumu tu, the whole EPL is against us.