Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Alvarez alichofanya world cup mpaka lautaro Martinez wa intermillan alikaa bench ... Argentina ikawa inamtegemea Alvarez..Mkuu siwez kukupinga hata dakika moja.
Mwnyw ukiniambia nichague finisher lzm Alvarez asimame pale kwnz anakupa kila kitu anajua kufanya kila kitu kama striker.
Alvarez is a better finisher than Haaland but that conversation is for another day [emoji817]
Game iko na intensity kubwa ..Hawa madg tuwaongeze lingne.
Wasije pata bahat nasibu wafurahie kutoka draw na sisi.
Kbs lkn siku Haaland akianza kudeep in form hlf Alvarez aanze kupata nafas mara kwa mara, Haaland atalia kuondoka kbs maana huyo dg ana balaa sio kawaida.Alvarez alichofanya world cup mpaka lautaro Martinez wa intermillan alikaa bench ... Argentina ikawa inamtegemea Alvarez..
Sema pep kashaweka Iman kwa haaland so Alvarez anahitaji muda kumprove pep kuwa anaweza kumzidi haaland ...
Kova alikua ananipangulia watu tu, kamanda kazini.Kovacic what a signing💥
Combination ya Rodri,Kovacic na Foden iki-click itakua ni kutembeza vipigo tuKova alikua ananipangulia watu tu, kamanda kazini.
Hapo kova sina nae shida kwny Consistency.Kwa perfomance ya leo ya kova na foden, kuna matumaini ya kusurvive kwenye hiki kipindi cha majeruhi.
Midfield yetu imetoa solid perfomance, inabidi tuzoee kucheza bila kdb.
Kovacic nae asipate majeruhi ya mara kwa mara.Combination ya Rodri,Kovacic na Foden iki-click itakua ni kutembeza vipigo tu
With more game time kwenye midfield, foden ataZidi kuwa experienced na kumaster hilo eneo.Hapo kova sina nae shida kwny Consistency.
Hapo wa kuomba awe n form nzr ni foden aache mambo ya on and off akiweza ilo bas kdg round ya kwnz hii tutakua vzr zaid.