Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Mim sibishani na watu empty headed kama nyie ,kama huna hoja ,hujui football nenda hata Uzi WA kulana kimasiala ndio Akili yako inapoishia ,huku kwenye ulimwengu WA football tuachie wanaume ,hizi level sio zako ....unajiabishaWewe sio shabiki wa man city,
Narudia... Au mpira umeanza kushabikia mwaka gani,,[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha unafiki.
Kama una 20yrs+ rudi Tim yako
Team kubwa hii ,usilinganishe na hizo team wapiga kelele 0 CL football club ...Hivi hiki kigenge kumbe nacho huwa kina mashabiki kumbe!
0 CL football clubJuzi mlikua mnaogopa hata kwenda mbele, kazi kupooza mashambulizi.
Doku kaingia na machachari yake kala nutmeg safi, kazuiwa mpaka na Zinchenko asiejua kukaba.
Haaland nae akageuka Tom [emoji23]
Pep alikua analia lia tu kule nje.
Kovacic na mbeleko za refa.
Na yule Gvadiol kumbe ni uchochoro, kila muda anachukuliwa na Jesus.
Alvarez kazi ikamshinda mapeema.
Mwisho captain wenu kichaa akaanzisha ugomvi.
[emoji23][emoji23][emoji119]
Shukuru Mungu var iliwabeba ,ile handball ya vvd Kila MTU aliiona ,mpaka de zerb akabaki anashangaa[emoji23]Matakataka [emoji23][emoji23][emoji23]
Mashabiki WA Liverpool hawawezi kuongelea hii kabisa ...Matakataka [emoji23][emoji23][emoji23]
Okoteni kwanza meneja wenu ndio mje hapa tujadiliπShukuru Mungu var iliwabeba ,ile handball ya vvd Kila MTU aliiona ,mpaka de zerb akabaki anashangaa[emoji23]
Stress za kufungwa zinawasumbuaMashabiki WA Liverpool hawawezi kuongelea hii kabisa ...View attachment 2778015
Brighton alikuwa kashawamaliza ,Klopp Kalialia week nzima wakaona tumuoneee huruma [emoji23][emoji23]Stress za kufungwa zinawasumbua
Mitano kwa arse8
Poor Mama city [emoji23][emoji174]
Kipigo kimewachanganya mnaanza hadi kutamani draw zetuBrighton alikuwa kashawamaliza ,Klopp Kalialia week nzima wakaona tumuoneee huruma [emoji23][emoji23]
Tuchukue Mara NNE mfululizo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]EPL Sisi tunataka CL ....Nawaombeya man sitee musimu huu wawe mabingwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kama uko dsm njoo sinza madukani zipo fullHabar wakuu,, natafuta hii third kit ya msimu wa 2021/2022.
Mwenye chimbo au connection tafadhali.
View attachment 2778040
Wale vikongwe Arsenal watasherekea msimu mzima kutufunga Sisi ....ndio ujue kuwa this is the BIGGEST CLUB IN THE WORLD [emoji23]Kipigo kimewachanganya mnaanza hadi kutamani draw zetu
Na bado[emoji23]