Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Kuku kaisha anza kunyonyolewa huko [emoji1787][emoji23][emoji23]
Hawa Liverpool walikuwa wanapigika kabisa ..
Mmepoteza nafasi nyingi kizembe sana, hii game mlikua mnawakanda livakuku goli zisizopungua 3.Hawa Liverpool walikuwa wanapigika kabisa ..
Walikuwa [emoji23][emoji23][emoji23]Hawa Liverpool walikuwa wanapigika kabisa ..
Doku anacheza vzuri tatizo kufanya maamuzi sehemu sahihi ndio tatizo ....hope atajirekebisha ...Mmepoteza nafasi nyingi kizembe sana, hii game mlikua mnawakanda livakuku goli zisizopungua 3.
Doku ni bonge la mchezaji ila anapaka sana rangi kwenye nafasi muhimu za kutoa pasi.
Doku is cooking TAA...