Si kuna mdau kakuwekea hapo page za nyuma.Wazee wa ku stream tupieni link
Hiyo app imekua down leo haifungukiSi kuna mdau kakuwekea hapo page za nyuma.
Mzee hapa Tanzania Hakuna anayeshabikia la liga ,zunguka weekend nzima uone kama Kuna MTU mwenye muda WA kuonesha Mallorca vs real Madrid game kwenye kibanda umiza .......au anayezungumzia Madrid tofauti na kipindi cha UEFA tu ...Wanaume wana UEFA moja ao ni wavulana
Hiyo app imekua down leo haifunguki
Ngonja dakika 10 za mwanzo nitakuwa nishaona picha halisi ya game ..Ndo maana nikasema moment ya kushambuliwa akina nani watakaba?, ila nilichokiona hicho kikosi cha Madrid backline yao mzuri ni Rudger pekee, hivyo timu italazimishwa kukaa nyuma , kupishana ni ngumu, lakini ikitokea wakacheza kama walivyocheza game ya kwanza first half, mnaweza shindwa kufuzu nyumbani kwenu.
Mbappe fainali hafiki, sancho anamalizana nae mapemaa.nyie wakulima mkifanikiwa kupita hapo kwa Madrid basi kijana wangu mbappe atawatafuna fainali
Muda umewadia, acha tuoneKwa upande wangu naona game itakua ngumu zaidi kama madrid wakiamua kukaa nyuma sababu tutakua tumesambaa mno na beki zetu haziba speed ukiacha walker.
Tukicheza kwa kupishana hapo tutawamaliza, kdb na foden lazma watamu unlock haaland.
Mbappe final its must... huyo kijana ndio Goat wa this generationMbappe fainali hafiki, sancho anamalizana nae mapemaa.
Njoo Nyumbani ucheki mechi mbona hujiamini kama huna Nauli ya daladala nitakulipia mbona una Mambo mengi unapewa ofa afu unaogopa ogopaMzee hapa Tanzania Hakuna anayeshabikia la liga ,zunguka weekend nzima uone kama Kuna MTU mwenye muda WA kuonesha Mallorca vs real Madrid game kwenye kibanda umiza .......au anayezungumzia Madrid tofauti na kipindi cha UEFA tu ...
Mim nakushangaa tu [emoji23] we jamaa sijui WA wapi ,baada ya game Leo UEFA sijui kama tutakuona Tena jukwaani maana huna utakalokuwa unazungumzia ....
Ligi Ni moja tu EPL
We madridista baada ya dk 90 usitukimbie humu.Njoo Nyumbani ucheki mechi mbona hujiamini kama huna Nauli ya daladala nitakulipia mbona una Mambo mengi unapewa ofa afu unaogopa ogopa
Siwezi wakimbia watoto wa shule mimWe madridista baada ya dk 90 usitukimbie humu.
Sasa na leo mfunge nje ya boxMagoli yetu hayana utata hata var haiwez kuwatetea ...
Ni mashoot nje ya box [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]