Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Toa Halaand, Grealish na Foden ingiza Doku,Lewis na Alvarez
Lewis?Toa Halaand, Grealish na Foden ingiza Doku,Lewis na Alvarez
Humjui ama ?Lewis?
City anaenda Semi final, mabao ya ugenini.Ikiisha 1-1 inakuaje?
Kumuingiza Rico lewis kwenye mechi kama hii?Humjui ama ?
Komaaaa weenaombea man city mtolewe
Hakuna goli la ugenini hukuCity anaenda Semi final, mabao ya ugenini.
ExtraIkiisha 1-1 inakuaje?
ππππ€£ hasira hizo jiraniIkiisha 1-1 inakuaje?
Issue sio ukubwa wa mechi issue ni kutekeleza majukumu vyema uwanjani dogo anaujua mpiraKumuingiza Rico lewis kwenye mechi kama hii?