The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Dah! 😅
Oya poleni kwahiyo tunakula mshkaki kurudi kwetu pamoja!! 😂😂😂😂
 
😂😂 Mbona wacheka
Hii imejirudia km majuzi liver alivyonyooshwa halafu baadae naye Arsenal akachezea vitasa 🤣🤣🤣🤣🤣

Sema nini city mmekufa kiume wanetu 🤣🤣🤣🤣
 
Tumepambana kiume lakini tumetola kizembe sana.

Hii game haikua ya kwenda matuta, a lot of shots with zero output.

Pili tumefungwa voli la kininga na kipuuxi kabisa ambalo hatukutakiwa kufungwa.

Sisi wenyewe tumeifanya game iwe ngumu.
Mliwazidi Madrid kila kitu
 
Tumepambana kiume lakini tumetola kizembe sana.

Hii game haikua ya kwenda matuta, a lot of shots with zero output.

Pili tumefungwa voli la kininga na kipuuxi kabisa ambalo hatukutakiwa kufungwa.

Sisi wenyewe tumeifanya game iwe ngumu.
Hadi umeshindwa kuandika vzuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…