Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,575
- 25,619
madrid hili kombe naona kaamua kujimilikishaSikua na imani kwenye penalt kabisaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
madrid hili kombe naona kaamua kujimilikishaSikua na imani kwenye penalt kabisaa.
Wakachukue tyuu,madrid hili kombe naona kaamua kujimilikisha
🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka mpk nimekaa chiniTwendee tusepeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baba Jane bye bye 🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukalale sasa, bora ingebaki bao lile la dk 90, kuliko penalty zinauma.
😂😂 Mbona wacheka🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣madrid hili kombe naona kaamua kujimilikisha
hapa ni dhahiri Madrid anakwenda kukutana fainal na Psg.🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba Jane bye bye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee uduguu, kaa tuondokeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka mpk nimekaa chini
Buyern Munich anabebahapa ni dhahiri Madrid anakwenda kukutana fainal na Psg.
kombe la madrid tena hili.
unakumbuka ile comment yangu kuwa Madrid hawapendi mazoea mazoea na kombe laoDah 3-4 and we are out
Hii imejirudia km majuzi liver alivyonyooshwa halafu baadae naye Arsenal akachezea vitasa 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 Mbona wacheka
Mliwazidi Madrid kila kituTumepambana kiume lakini tumetola kizembe sana.
Hii game haikua ya kwenda matuta, a lot of shots with zero output.
Pili tumefungwa voli la kininga na kipuuxi kabisa ambalo hatukutakiwa kufungwa.
Sisi wenyewe tumeifanya game iwe ngumu.
Hadi umeshindwa kuandika vzuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumepambana kiume lakini tumetola kizembe sana.
Hii game haikua ya kwenda matuta, a lot of shots with zero output.
Pili tumefungwa voli la kininga na kipuuxi kabisa ambalo hatukutakiwa kufungwa.
Sisi wenyewe tumeifanya game iwe ngumu.