The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Downfall yenu siyo ya kawaida, mshukuru mlikusanyakusanya point mechi za mwanzoni, kwa hii form yenu mngekua wa 8 hukoo
 
115 charges fc ubwa nyie

Visima vya mafuta kuhonga marefa na FA vimeanza kukauka uarabuni

Mnapigwa Leo jinga sana

115 charges fc 1-4 mashetan

Mafisadi ya mpira nyie
Kiuhalisia zamani walikuwa wanacheza mpira na hiyo kusema walikuwa wanahonga sidhan ila sema tu saiv wanaruka ruka tu uwanjani 🤣🤣🤣🤣
 
Confidence imeshuka Kwa City, hata kocha Sasa hivi hajiamini. Kuna Hali unajua inatokea timu nzima imevurugwa. Hawaamini hata wanachokifanya, angalia hata morali imeshuka, city walikuwa na hekaheka sana siyo mechi hizi wamepoa sana. Timu inakuwa exposed kirahisi sana.
 
Confidence imeshuka Kwa City, hata kocha Sasa hivi hajiamini. Kuna Hali unajua inatokea timu nzima imevurugwa. Hawaamini hata wanachokifanya, angalia hata morali imeshuka, city walikuwa na hekaheka sana siyo mechi hizi wamepoa sana. Timu inakuwa exposed kirahisi sana.
Mkuu tutarudi imara tena subiri january, city akipata holding midflida mzuri na centrebacks kwisha kazi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
You fools bring back the balon odor you stole from vinicious jnr..maybe you will be forgiven from the ultimate CURSE that will sink your stupid team to the deepest grave.
 
Manjesta Siti..... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Alooh! Hii hatari yaani man city wamekuwa mdebwedo watu wabonyeza kizenji tuu
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom