Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Job truetrueKazi kwelikweli
hii mliku mnakufa pale dakika za jioni kabisaKazi kwelikweli
Umeshinda ngapi broMan City ni kichwa cha mwendawazimu, hadi penalti hamtaki kufunga 😂
Tumebanduliwa 😭Umeshinda ngapi bro
Mchezaji hewa huyuJamaa ana touch 5 na passes 2.
Hahahahahahah
Tutawapa kibuPep kuendelea kumpanga Haalaand ni kama kucheza na wachezaji 10. He has become useless. Haalaand yeye kazi yake ni kupiga mpira golini pale nafasi inapopatikana. Na kwa hali ya timu ilivyo sasa, hizo nafasi za yeye kufunga zimekuwa adimu au hamna kabisa.
hivi we Jamaa si uludi tu kwenye Timu yako ya Zamani kwanini unateseka namna hiiTatizo linakuja kwenye kuwapata wachezaji wazuri wenye bei reasonable January huwa ni changamoto.
Hapa ndipo instincts za ma scout zinahitajika sasa kuangalia wachezaji ambao hawasemwi ila wana potential.
Timu yangu ya zamani ipi?hivi we Jamaa si uludi tu kwenye Timu yako ya Zamani kwanini unateseka namna hii