The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Pep kuendelea kumpanga Haalaand ni kama kucheza na wachezaji 10. He has become useless. Haalaand yeye kazi yake ni kupiga mpira golini pale nafasi inapopatikana. Na kwa hali ya timu ilivyo sasa, hizo nafasi za yeye kufunga zimekuwa adimu au hamna kabisa.
 
Haaland first half touch
Screenshot_20241227-081441_Chrome.jpg
 
Pep kuendelea kumpanga Haalaand ni kama kucheza na wachezaji 10. He has become useless. Haalaand yeye kazi yake ni kupiga mpira golini pale nafasi inapopatikana. Na kwa hali ya timu ilivyo sasa, hizo nafasi za yeye kufunga zimekuwa adimu au hamna kabisa.
Tutawapa kibu
 
Tatizo linakuja kwenye kuwapata wachezaji wazuri wenye bei reasonable January huwa ni changamoto.
Hapa ndipo instincts za ma scout zinahitajika sasa kuangalia wachezaji ambao hawasemwi ila wana potential.
hivi we Jamaa si uludi tu kwenye Timu yako ya Zamani kwanini unateseka namna hii
 
Back
Top Bottom