Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,......mliidharau Blackburn mka field weak side.... Haya sasa.
So does this mean Bayern < Blackburn?
Sijaelewa hapa ina maana ganiKwenye kombe la FA, BLACKBURN ROVERS ni timu kubwa kuliko MANCHESTERCITY FC:
Mabingwa wa FA Cup tangu kuanzishwa 1871-1872:
Man utd =11
Arsenal = 10
Spurs = 8
Chelsea = 7
Liverpool = 7
Blackburn Rovers = 6.
Everton = 5.
*Usisahau kwamba Blackburn wamewahi kuwa mabingwa wa Premier League mwaka 95 wakiwa na Allan Shearer #9 wa England.
lol hii kali poa.Kwa sababu Man City iliifunga Bayern Munich kwenye UCL, ajabu ni kwamba Man City imetoka droo na timu ya daraja la kwanza, sasa mkuu ndetichia akauliza Je, inamaana Blackburn ni bora kuliko Bayern? Mimi nikamjibu, wewe umenikuu jibu langu kwa ndetichia ingawa sijui kama ulielewa hoja yangu!