The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Sijaelewa hapa ina maana gani
quote_icon.png
By ndetichia
So does this mean Bayern < Blackburn?

ndo hivo hivo tu mkuu ulivoelewa..
 
Raha sana kushabikia man city....sio majirani zetu kule wanaenda kuangalia mechi na panadol mfukoni...moyes usifanye hivi bana
 
NEGREDO ON VIDEO: Hat trick hero Alvaro Negredo shares his view on tonight's game with CityTV.

1510844_10153726227585455_855852312_n.jpg
 
Hongereni Man City namna hiyo tunakuwana ushindani mzuri.
Kwenye ligi ya EPL naamini mwaka huu tutapata bingwa mzuri:
-Chelsea-Man City-Arsenal huu mwaka mzuri sana. ubingwa utatoka kwenye timu hizo tatu piga ua.
 
Hongereni Man City namna hiyo tunakuwana ushindani mzuri.
Kwenye ligi ya EPL naamini mwaka huu tutapata bingwa mzuri:
-Chelsea-Man City-Arsenal huu mwaka mzuri sana. ubingwa utatoka kwenye timu hizo tatu piga ua.

asante sana kwa pongezi lako mkuu..
 
Lionel Messi Is Baaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaack.
 
kimpango wake tu hata akirudi nikumuombea tu asiumie tena...

Sie hatujali cha messi wala nn! Viva Manchester City the true blues, leo tunarudi kileleni ,tunampa za uso Newcastle.
:thumbup:
 
Back
Top Bottom