The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

EMT nadhani tofauti ya bench la Man City na Chelsea ni moja, Mourinho anajaribu kupanga team kutokana na match kwa hiyo wachezaji wengi wanapata muda wa kucheza, kwa mfano jana Luiz na Matic walianza badala ya combination say ya Mikel/Lampard, au Ramires/Lampard

Lakini kwa Pellegrini ni Yaya na Fernandinho all the way, atafanya mabadiliko kwenye FA Cup au Capital One ila kwenye EPL au CL wengine hawapi nafasi. Hii inaathiri uwezo wa wachezaji wanaokalia bench, wakipewa nafasi wanashindwa kushine kwa sababu hawana uelewano mzuri na their mates, na pia unaweza kujiuliza kama kulikua na haja ya kumpeleka Barry kwa mkopo Everton

Kuna wachezaji wazuri tu city inawadumaza, Rodwell, Milner, Richards, Scott Sinclair, Lescott (who is more of a defender than both Nastazic and Demichellis), hawa wote wangekua wanapata playing time sidhan kama jana midfield yao ingekua outplayed na Chelsea
 
Last edited by a moderator:
Kuna mwenzio alisema jumapili kuwa Chelsea ikimfunga Man City atatembea Kabang nje kuanzia Posta hadi Ubungo hadi hivi sasa kafika Jangwani anaomba mvua inyeshe. Teh teh teh...

huyo ni mwehu!
Ila man shity kusema kweli wanabebwa na marefa na jana ilidhihirika ktk kadi ya nastasic ilibidi apigwe nyekundu kwani alikuwa ni mtu wa mwisho,
hadi mou alilalamika sana,kwani Koscenly alipigwa red kama ile dhidi ya crystl palac 1st round alimpush kdg chamakh ila nastasic alibembea kabisa ktk jezi ya mwenzake duh
kwakweli mumefika hapo mlipo kwa udhaifu wa marefa,
mechi ya newcstl na liverpulu zote mlistahili kichapo
 
Kuna mwenzio alisema jumapili kuwa Chelsea ikimfunga Man City atatembea Kabang nje kuanzia Posta hadi Ubungo hadi hivi sasa kafika Jangwani anaomba mvua inyeshe. Teh teh teh...

huyo ni mwehu!
Ila man shity kusema kweli wanabebwa na marefa na jana ilidhihirika ktk kadi ya nastasic ilibidi apigwe nyekundu kwani alikuwa ni mtu wa mwisho,
hadi mou alilalamika sana,kwani Koscenly alipigwa red kama ile dhidi ya crystl palac 1st round alimpush kdg chamakh ila nastasic alibembea kabisa ktk jezi ya mwenzake duh
kwakweli mumefika hapo mlipo kwa udhaifu wa marefa,
mechi ya newcstl na liverpulu zote mlistahili kichapo...
 
Jamani tumekubali mmetufunga tuacheni basi tupumzike.mweeee kagoli kamoja masimango hivi je mngetugegeda 7 si ingekuwa hatareee
 
Kuna wachezaji wazuri tu city inawadumaza, Rodwell, Milner, Richards, Scott Sinclair, Lescott (who is more of a defender than both Nastazic and Demichellis), hawa wote wangekua wanapata playing time sidhan kama jana midfield yao ingekua outplayed na Chelsea

He doesn't seem to favour English players.
 
Manchester City: FA Cup Champions 2011

_52724798_011976253-1.jpg


Manchester-City-homecoming-FA-Cup-Open-Top-ce_2600462.jpg

Hayo makombe mtayasikia tu. Chelsea ndo kiboko ya viherehere kama Man city
 
Rafiki Yangu ndetichia mpaka tarehe 20 mwezi huu utakua Na Hali gani kwenye EPL UEFA na FA?
 
Last edited by a moderator:
Kamanda, wewe vipi tena aisee?...Taifa kubwa ni kule darajani mazee....lol!...:wave:

Hawa Man-C ni washkaji zangu wa long time tu.


.....hahahahha...."washkaji wa long time" eti eehh?!
Sawa sawa kamanda, nakubaliana na huo usemi...😉)
 
huyo ni mwehu!
Ila man shity kusema kweli wanabebwa na marefa na jana ilidhihirika ktk kadi ya nastasic ilibidi apigwe nyekundu kwani alikuwa ni mtu wa mwisho,
hadi mou alilalamika sana,kwani Koscenly alipigwa red kama ile dhidi ya crystl palac 1st round alimpush kdg chamakh ila nastasic alibembea kabisa ktk jezi ya mwenzake duh
kwakweli mumefika hapo mlipo kwa udhaifu wa marefa,
mechi ya newcstl na liverpulu zote mlistahili kichapo
ukishazoea kubebwa basi unafikiri kila mtu anabebwa ndio shida..
 
epl today
city will face norwich at carrow road at 18:00 pm east time
 
Back
Top Bottom