Ht new 0 - 1 city
Dah naona uko peke yako ... ... hii timu haipendwi aise .. .... dirisha bado liko wazi unaweza kuhama tu!
Sheikh Mansoor kijasho kitamtoka. Komaeni nao tu hao.
Ndetichia you are one man army. Lisongeshe mkuu tunafatilia updates kwa karbu sana.
Safari hii sijui watasingizia nn?