DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
mkuu Messi ni habari nyingine.Some times huwa najiuliza kama huyu jamaa ni binadamu wa kawaida au yeye ni wa karne ya 70 but kaja karne hii kimakosa!!!ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha hivi kwanini tunamfananisha Messi na Ronaldo? Messi ni hatari sana kwa team pinzani.
Baada ya huyu mchezaji man city kupigwa tobo la aibu kocha wake akaamua kumuweka benchi manake lilikuwa tobo la aibu sana.Fans wa man city mnisamehe maana sina namna!!!
Duh!! Hii nyumba haina wenyewe nini
Hahahahahaa tarehe 12 sio mbali!
.kwa taarifa anbazo sijathibigisha Man City 0 CP 2
Hahahaha!! Walete tu tuwachape, ni kweli ndo matokeo sahihi, mm niliachia bao moja dakika ya 41 nikaenda zangu kulala, matokeo yake usingiz umegoma.
Hahahaha!! Walete tu tuwachape, ni kweli ndo matokeo sahihi, mm niliachia bao moja dakika ya 41 nikaenda zangu kulala, matokeo yake usingiz umegoma.
Aiseee ni hatari km ndio hivo adui yangu sasa ni ManU na Arsenal duh!
upo mtani siyo
Duh!! Hii nyumba haina wenyewe nini
Nipo mtani ,habar za masiku?