Naona Aguero kaanza na nguvu ya kutosha!
mpaka mchezo unamalizika timu zote mbili zimetoka sare ya bao 1 - 1 uku mfungaji wa city akiwa ni koralov..
Umeanza lini kuisupport mancity?man city wameniudhi kwa kushindwa kumuadhibu haka kajamaa
Naona hili kombe Man city waachie tu wakongwe!
Umeanza lini kuisupport mancity?
Citty wako njema sema kama msimu uliopita kitakacho waangusha ni kucheza champions league inaonekana jamaa bado hawawezi kucheza two games a week wanachoka sijui.Mkuu, yaani sare tu ukashindwa kumalizia hii hadithi yako jee mngefungwa si ungefuta kabisa hivi ulivyoandika hapa???!! Komaa mkuu chama lenu liko poa!
Citty wako njema sema kama msimu uliopita kitakacho waangusha ni kucheza champions league inaonekana jamaa bado hawawezi kucheza two games a week wanachoka sijui.
Mkuu, yaani sare tu ukashindwa kumalizia hii hadithi yako jee mngefungwa si ungefuta kabisa hivi ulivyoandika hapa???!! Komaa mkuu chama lenu liko poa!