Kaogopa kuumizwa kweny laligaMESSI AMKATAZA AGUERO KUJIUNGA NA REAL MADRID
Lionel Messi amemshauri Mwargentina mwenzake Sergio Aguero kutojiunga na Real Madrid mwaka ujao, kwa mujibu wa Diario Gol .
Rais wa Madrid Florentino Perez amemtaja straika wa Manchester City, Aguero kuwa mchezaji sahihi na anaamini ataweza kumshawishi kujiunga na Blancos ikiwa Pep atamsajili Alexis Sanchez.
Lakini kwa mujibu wa habari Lionel Messi amemtumia ujumbe Aguero kwa njia ya WhatsApp, na amemwambia rafiki yake kipenzi na Mwargentina mwenzake kuwa ni vema abaki Manchester kwa sababu Madrid inaelekea kuporomoka na City wanazidi kuwa tishio chini ya Guardiola kwa sasa.
Asante kwa taarifa.Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina na klabu ya Manchester City Sergio Aguero usiku wa kuamkia leo amedondoka ghafla na kuzimia katika chumba cha kubadilishia nguo baada ya mchezo dhidi ya Nigeria mjini Krasnodar, Russia.
Aguero aliifungia timu yake mara mbili kabla ya mshambuliaji wa Arsenal na Nigeria Alex Iwobi kuandika la kwanza.
Aguero alipata fahamu baadae akiwa hospitali lakini madaktari wanasema asalie kwanza wodini ili hali itengemae zaidi.
Kelechi Ihenacho aliindikia Nigeria goli la pili kabla ya Ever Banega kuongeza jingine kwa Argentina.
Haijaelezwa nini kilichomsibu Aguero mpaka kuanguka na kupoteza fahamu na huenda taarifa zaidi zikatoka baadae.
Pep guardiola anaomba kwa lugha zote, de bruyne asipate majeruhi...Leicester 18:00 Man City
ilove this lady Numbisa
She seems to be that smart...ilove this lady Numbisa
Me too. She is one of a kind. As the saying goes, a beauty with a brain.ilove this lady Numbisa