Haya tumekuelewa mkuu.Asante wagonga nyundo piga hawa wachovu wanajikuta sana
Waliishachoka hata wasiwatishe
Piga kbs matobo hilo li cheusi mangara
Piga mashuti hapo golini kuna pazia tu mtafunga
Yatoeni kbs ulimi machovu haya
Tatizo kocha ameanza kujiamini.Sikuhizi city wameshaxoea kufungwa halftime then kipindi cha pili ndio wanaanza kucheza mpira lkn kwa ss mashabiki watatupa presha tu. Ile system ya kuwawahi mapema ndio ilikuwa nzuri sio hii ya kusubiri ufungwe ndio uanze mecgi
Mkuu match ikiisha utuletee matokeoAsante wagonga nyundo piga hawa wachovu wanajikuta sana
Waliishachoka hata wasiwatishe
Piga kbs matobo hilo li cheusi mangara
Piga mashuti hapo golini kuna pazia tu mtafunga
Yatoeni kbs ulimi machovu haya
Mkuu vip matokeo ya west ham na ile team ya wachovu?Asante wagonga nyundo piga hawa wachovu wanajikuta sana
Waliishachoka hata wasiwatishe
Piga kbs matobo hilo li cheusi mangara
Piga mashuti hapo golini kuna pazia tu mtafunga
Yatoeni kbs ulimi machovu haya
Michovu tu inashindia shidaMkuu vip matokeo ya west ham na ile team ya wachovu?
Mkuu we ni team gani?Michovu tu inashindia shida
Inabebwa
Man u!!!????!!!!!!! Pigeni hao mbwa
sent using my xm udongo using jf mobile app
AWMkuu we ni team gani?
AWMkuu we ni team gani?
Mkuu sijakupata ujuw
Arsene wengerMkuu sijakupata ujuw
Pole yako mkuu.Arsene wenger
Draw na nani chief, Leo tushapiga new castle point zetu tatu muhimu tushachukua,Nimebeti draw
Naona magoli yanapungua mechi ijayo droo na yale mashushushu mekunduPole yako mkuu.
Arsene wenger
Anazuilika vzr 2City hakuna wa kumzuia
Anazuilika vzr 2City hakuna wa kumzuia
Mwaka huu anabeba kikombeCity hakuna wa kumzuia
Japo mashushushu wekundu walimpiga arsenal ila mpira wao ulikuwa chini sana, arsenal walistahili ushindi kwenye ile mechi. Man U akicheza ule mpira aliocheza na arsenal juzi, Basi pont 3 kwa City mapema sana.Naona magoli yanapungua mechi ijayo droo na yale mashushushu mekundu