The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hahah!! Hapo sawa kama ni hivyo nakubali asilimia zote mana nilivyoona picha nikajua imewekwa kwania ya kuwashindanisha
Weeee achana na hiyo kitu mkuu wanasafar ndefu kufikia huko tunaweza tukafa tusione maajabu ya wakina mess
 
Mkuu hapa umetudanganya mi namuelewa zaidi kun ni hatar hata kane anakosa sana
Aguero angekuw anacheza team ambay inamtegemea yey peke yake nadhani angekuw na magoli zaidi. Pale alipo nitofauti na pale kwa kina Kane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…