The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Wabovu sana hao jamaa inatakiwa tufanye kitu mapema sana kufix hiyo shida

Duuh safi sana vijana kwa kazi nzuri, nakumbuka msimu leicester wanachukua ubingwa kuna game walitupiga 4
Hata mwaka jana walitupiga 4-2 kwao lakin
 
Hivi bado Kuna watu, wanamfananisha KDB na Pogba, kama wapo wanyooshe vidole. Mechi moja assist tatu
 
Back
Top Bottom