The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kuna mtangazaji wa Magic fm eti anasema Arsenal jana kafungwa na Manchester united jamn hawa wachambuzi wengine wanatia hasira sana....
 
Jana kuna watu waliapa kuw hatuwezi kuwafunga mara 2 kwenye msimu 1
Ata Arsenal walisema hvyo hvyo alafu tatizo historia ya uwanja itachangia kuwahukumu huwez amini mara ya mwisho kupoteza game pale etihad ilikua ni 2016
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…