The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Siwalaumu City hawana kikosi cha ku defend
Yaan mme zidiwa kabsa kabsa
 
Mmh aiseee wonders. Timu ikifungwa wachambuzi wanajitokeza na kutoa lawama. Ikishinda kicheko kikubwa na kejeli kwa timu pinzani
 
Hamjamjua vizuri pep, subiri waje etihad wote mtashangaa ndio haha !!?.
Ndoto za asubuh hiz kama ile buyern ilishindwa kufika fainal unategemea nini? Manchester city bado kutamba michuano ya ulaya
 
Liverpool ndo timu pekee yake kumuondoa Real Madrid.
Pia na ww unaota ndoto mbaya sana zidane na ronaldo kweye hili kombe wanabahati sana

Mtafute liverpool hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…