Kwa sasa na ni lazima atakuondoa [emoji23]Pia na ww unaota ndoto mbaya sana zidane na ronaldo kweye hili kombe wanabahati sana
Mtafute liverpool hapo.View attachment 734843
Usisahau kunikumbushaTusubil tuone utabir wako
Madrid anachukua kombe kwa mara ya tatu mechi wangeanza nyumban kwa city liverpool angekufa historia inawahukumu city nyumban kwa liverpool kibaya zaid karuhusu magoli mengi hata kama city atashinda mech ijayo ila liverpool lazima watapata goli nilipoona mech inaanzia nyumban kwa liverpool nilijua city yupo hatarin sana labda itokee miujiza tu pia klopp ndo kocha anaemsumbua sana pep mech ijayo natabiri sale liverpool kishapita.Kwa sasa na ni lazima atakuondoa [emoji23]
Madrid ombeni Barca atoke.Madrid anachukua kombe kwa mara ya tatu mechi wangeanza nyumban kwa city liverpool angekufa historia inawahukumu city nyumban kwa liverpool kibaya zaid karuhusu magoli mengi hata kama city atashinda mech ijayo ila liverpool lazima watapata goli nilipoona mech inaanzia nyumban kwa liverpool nilijua city yupo hatarin sana labda itokee miujiza tu pia klopp ndo kocha anaemsumbua sana pep mech ijayo natabiri sale liverpool kishapita.
Mkuu madrid champions league ni habar nyingine hasa unapoanza mtoanoMadrid ombeni Barca atoke.
Najua mnaomba apangwe na Liverpool japo bado hana ubavu wa kumtoa Barca.
Barca atapangwa na Bayern japo alipize kisasi.
All in all Nusu fainali itakuwa ngumu kuliko fainali.
Moto wake utatulizwa na Barca mkuuMkuu madrid champions league ni habar nyingine hasa unapoanza mtoano
Kabisa bado naiona nafasi Ya City pale EtihadLiverpool akipigwa 5 Etihad stadium sitashangaa kabisa ila hao hao Liverpool wakifunga timu yeyote ya Hispania nitashangaa sana.. binafsi
Labda wapigwe kadi nyekundu liverpool kumbuka pep toka kaja england kamfunga liverpool mech moja tu ktk 4Liverpool akipigwa 5 Etihad stadium sitashangaa kabisa ila hao hao Liverpool wakifunga timu yeyote ya Hispania nitashangaa sana.. binafsi
Hahaha vumbi tuuuu liverpool kishawatoroka kushinda anaweza ila sio kumtoaKabisa bado naiona nafasi Ya City pale Etihad
Haya tusubir tuone sikatai sana kwa upande wa barcaMoto wake utatulizwa na Barca mkuu
Mkuu mie si City sema kuna hiyo PossibilityHahaha vumbi tuuuu liverpool kishawatoroka kushinda anaweza ila sio kumtoa
Hapa umeona mbali kabisa hongera kwa hili.Haya tusubir tuone sikatai sana kwa upande wa barca
kama akina shafi dauda ...Mmh aiseee wonders. Timu ikifungwa wachambuzi wanajitokeza na kutoa lawama. Ikishinda kicheko kikubwa na kejeli kwa timu pinzani
Sawa mkuu ila nnachosema city anaweza kushinda ila sio kumtoa liverpoolMkuu mie si City sema kuna hiyo Possibility
Time will tellSawa mkuu ila nnachosema city anaweza kushinda ila sio kumtoa liverpool
when it comes to UCL Real de Madrid hata mwanangu mmoja salum aka salugado anajua kwamba hawanaga utani kabisa na wanalichukua tena mwaka huu.Liverpool ndo timu pekee yake kumuondoa Real Madrid.
Time will tell labda acheze fainali na Bayernwhen it comes to UCL Real de Madrid hata mwanangu mmoja salum aka salugado anajua kwamba hawanaga utani kabisa na wanalichukua tena mwaka huu.
kujua sio tatizo ...chezen mpira uwanjan ...kwanza mmeshatoa mguu mmoja nje ...mnatakiwa mumfunge liverpool.goli zaidi ya 4 sasa kwa moto na ari ya liva kwa sasa unaamfungaje kizembe hivo wakiwa wamelewa auHamjamjua vizuri pep, subiri waje etihad wote mtashangaa ndio haha !!?.