Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
HahahahLeo mmekalia usukani sio
Hongereni ila mtashuka tu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahLeo mmekalia usukani sio
Hongereni ila mtashuka tu hapo
Kwanini huwa amkubali kuona city anamashabiki?Wanaojazana huku wakiishabikia City huwa wapo kwa mkopo tuu
Mtani pole zako ninazo nyingi sana maana ni muda sasa hatujaonanaMahrez. 5thView attachment 874786
Mtani pole zako ninazo nyingi sana maana ni muda sasa hatujaonana
Sasa jiandae kiakili maana hali yenu bado itaendelea hivo hivo ado Jose afukuzwe...... Mimi kesho napiga mtu za kutosha tu wala usijariAaah mtani bora ulipoadimika kipindi muhimu maana bus letu linazama huku tunaliona bila kutoa msaada. Ila kesho sijui niwaombee ushindi au kakipigo au ka droo?
Sijapata taarifa zake kamili mkuuakuna wakutufunga pale wote wamechanganyikiwa na gem zilizo pita hasa ya napoli? kwanz d bruyne ameludi au bado
Mie nataka Liverpool ashindi tuu maana lile la mkaa mda tuu, mda wowote Sarriball atalishusha.Kesho naombea mtoke sare tu nyie man city
Mwenyewe ulishindwa kummaliza Liver juzi leo unaomba dua bayaKesho naombea mtoke sare tu nyie man city
Alichoropoka tu alikuwa wangu kabisa yuleMwenyewe ulishindwa kummaliza Liver juzi leo unaomba dua baya
Mlifanya uzembe wa hali ya juu kumuachiaAlichoropoka tu alikuwa wangu kabisa yule
Kesho nataka sare na nitaibetia sare
Mashabiki zake wamekua waimba taarabu sana siku hiziMan city baadae nipigieni zile mama zinaitwa Liverpool.
Come on City. Bao tatu za nguvu!
Maana zina kelelee sana.
Sare tu leo mzee babaMan city baadae nipigieni zile mama zinaitwa Liverpool.
Come on City. Bao tatu za nguvu!
Maana zina kelelee sana.
Mkuu mambo vipi naona tunapishana sanaMwenyewe ulishindwa kummaliza Liver juzi leo unaomba dua baya
Dua la kukuAlichoropoka tu alikuwa wangu kabisa yule
Kesho nataka sare na nitaibetia sare
Mkuu mama nani kuwa na staha na maneno this is football utani hauwi hivyo ww ukiitwa mama how do yuo feelMan city baadae nipigieni zile mama zinaitwa Liverpool.
Come on City. Bao tatu za nguvu!
Maana zina kelelee sana.