The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

spurs,liver,arsenal na chelsea wana uwezo wa kumfunga city na kuharibu uongozi wake wa ligi
 
Mkuu unapozungumzia uwezo unamaanisha nini?Nadhani ungetumia neno bahati ingependeza zaidi.
Wakati hizo timu tajwa zinamsimamisha City basi hiyo timu itakayokua juu kwa muda huo nayo isisimamishwe

Ila Spurs anaemuongelea kishadungwa pale kwake, Arsenal alikalia mbili, Liver nae aliponeo chupu chupu pale nyumbani kwake, Chelsea anasubiriwa tu japo walikutana katika game ya ufunguzi na alichokutana nacho anakijua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…