Ligi bado mbichi kabisa!Bado unawapa nafasi mkuu baada ya kula hiziView attachment 953885
We endelea kusema mbichi wenzio wanasongaLigi bado mbichi kabisa!
Vumilia mkuu ss tumekaa na Wenger kwa machozi na damu sembuse morinhoNingekuwa naweza kuhama timu ningepanda zangu tren kutoka old Trafford nikashuka kwa Manchester citizens nishachoka na ujinga wa morinho
Wanasonga ugali wa kudoda sasa utaliwaje?We endelea kusema mbichi wenzio wanasonga
Spurs,Arsenal na Man Utd wameshakula vipigo kutoka kwa City.spurs,liver,arsenal na chelsea wana uwezo wa kumfunga city na kuharibu uongozi wake wa ligi
Hapo vipi?0-0 mpaka sasa mancity mtanyooka leo hao ndo wanaume wa shoka watford
Wapi hao? Hii ni Man city mkuu. Lete marejesho baada ya dakika 900-0 mpaka sasa mancity mtanyooka leo hao ndo wanaume wa shoka watford
Jamaa sijui ni shabiki wa timu gani maana kanishangaza kuwaita Watford wanaume 😂Wapi hao? Hii ni Man city mkuu. Lete marejesho baada ya dakika 90