The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mhhh itakua ulianza kuangalia soka miaka ya hivi karibuni, man u na Liverpool ndo timu zenye mafanikio kuliko timu zozote epl
Kwani ni kosa kuanza kushabikia mpira miaka hii? Arsenal man u na liver walisumbua kipindi chao. Na wanaweza wakarudi kwenye fomu wakipata kocha mzuri.
 
Kesho Man City yupo na Chelsea. Kumbuka Chelsea ni tumu kubwa na wapo vizuri. Hawatataka kufungwa maana walishafungwa juzi. Man City nae ni Mzuri pia na hataki kupoteza mechi kwasasa.
 
Unawezaje kupima furaha ya kundi fulani?

Okay, kwa miongo mitatu Man Utd ndo kachukua mara nyingi, lakini ndani ya hii miaka ya karibuni hawajafanya vizuri, ila kwa mtazamo wako wao ndo wenye furaha zaidi siyo?
Ndio wakati man u anashinda epl technology kwa Tanzania yetu ilikuwa kubwa bado wanayofuraha kwa macho yao bila kuhadithiwa na yoyote wamejionea mafanikio
 
Nimepita somewhere nikakuta mashabiki wa Chelsea wanahaha kinyama
 
Niwapongeze humu ndani nyinyi mnayofuraha kubwa kuliko mashabiki wa Liverpool, hawajawai kuona team yao ikibeba epl Live, wameshuhudia uefa 1 ,msikate tamaa mmechagua fungu jema
Asante mkuu
 
Hahah
Ndio wakati man u anashinda epl technology kwa Tanzania yetu ilikuwa kubwa bado wanayofuraha kwa macho yao bila kuhadithiwa na yoyote wamejionea mafanikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…